Salaam, Shalom!!
INTRODUCTION.
Sifa kuu ya KAZI, ni iwe halali, pili iwe na malipo ya kuweza kukusustain maisha Yako, yaeza kuwa umejiajiri au umeajiriwa, KAZI ni KAZI, ilmradi mkono uende kinywani.
KAZI pia Si Kwa ajili ya kujipatia kipato pekee, KAZI pia ni Kwa ajili ya AFYA pia, ndo maana wenye kufanya KAZI zinazoitwa white collar jobs, lazima wafanye pia mazoezi Ili kulinda AFYA Kwa ujira au faida ya KAZI wazifanyazo.
Najua unazijua KAZI nyingi zenye kulipa, zenye kuingiza kipato kikubwa, lakini, Leo katika mada hii nakuambia IPO KAZI yenye kulipa kuliko KAZI zote, yenye thamani kubwa unazozifahamu, fuatana nami tafadhali, usijekuwa unafanya KAZI Kwa HASARA.
MADA: KUHUBIRI INJILI, NI KAZI YENYE THAMANI KUBWA, INAYOLIPA KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI.
Ndivyo ilivyo, KAZI zote tunazofanya ni Kwa ajili ya tumbo, ikiwa tunafanya KAZI na kujihangaisha maisha yetu yote Ili kushibisha tumbo, na kuhakikisha familia na vizazi vyetu vinaishi maisha Bora, kula vizuri, kulala vizuri, kusafiri katika magari ya kifahari, kunywa nk nk, KAZI zetu ni BATILI, tunajihangaisha Kwa ajili ya CHOO.
Kula, kunywa kulala Si vitu muhimu vitupasavyo kuvihangaikia.
Ndege wa angani Wana mavazi, wanakula bila kulima shamba, wanakunywa na wanalala na kuamka kama sisi.
KWANINI KAZI YA KUHUBIRI INJILI INA THAMANI KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI?
Sababu kuu ya kwanini KAZI ya kuhubiri INJILI ,ni yenye thamani kuliko KAZI zote ni kuwa: KUHUBIRI INJILI KUNAHUSIKA NA KUOKOA ROHO.
Roho ya mwanadamu Ina thamani kuliko kitu chochote duniani, ndo maana tajiri akiwa katika kufa, Yu tayari Kutoa kiasi chochote Cha Fedha au Mali Ili asife lakini Haiwezekani.
Hakuna KAZI au Mali yoyote iliyo na thamani zaidi ya Roho ya mwanadamu, hivyo, kuvuna Roho zilizopotea na kuzirudisha ziwe hai na kuurithi Uzima wa Milele, ni KAZI yenye thamani kuliko zote Duniani.
1. Petro alikuwa mvuvi, aliacha uvuvi na kwenda kuhubiri INJILI.
2. Mtoza ushauri, TRA officer, aliacha KAZI yake na kwenda kuhubiri INJILI.
3. Luke aliacha Udaktari wake na kwenda kuhubiri INJILI.
Nimesguhudia watu wenye KAZI nzuri wakiziacha na kwenda kuhubiri INJILI.
Wengine wameacha uinjinia, uanasheria, ualimu, nk nk na kwenda kuhubiri INJILI, hivyo kamwe usidharau wahubirio INJILI ,ukadhani wamekosa KAZI ya kufanya.
JINSI YA KUHUBIRI INJILI.
Si wote wameitwa kuwa Wachungaji, wainjilisti au watumishi direct, unaweza kuhubiri INJILI Kwa njia ZIFUATAZO.
1. Ikiwa umeajiriwa, toa pesa zako sawasawa na utakavyosemeshwa na Mungu kusupport INJILI, utakuwa na utalipwa sawa na wahubiri INJILI, sababu umeshiriki kuwapeleka.
2. Ikiwa umejiajiri pia toa sehemu ya pesa zako, support INJILI, lipia ada watoto wa wahubiri INJILI, utakuwa umefanya KAZI yenye ujira kuliko KAZI yoyote duniani.
3. Ikiwa u MKULIMA, wape maskini chakula, waambie kuwa umetumwa na YESU sawasawa na maagizo yake. Wambie Yesu awapenda.
4. Ikiwa u tajiri, lisha yatima, wajane, hudumia wagonjwa hospitali, na Wambie, Yesu amekutuma kuhubiri INJILI Kwa njia hiyo.
Ikiwa hujaokoka, huna KIBALI Cha kuhubiri INJILI, fuatisha Sala hii kupata KIBALI Cha kuhubiri INJILI;
SEMA: EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.
Amen, Mbarikiwe nyote 🙏
INTRODUCTION.
Sifa kuu ya KAZI, ni iwe halali, pili iwe na malipo ya kuweza kukusustain maisha Yako, yaeza kuwa umejiajiri au umeajiriwa, KAZI ni KAZI, ilmradi mkono uende kinywani.
KAZI pia Si Kwa ajili ya kujipatia kipato pekee, KAZI pia ni Kwa ajili ya AFYA pia, ndo maana wenye kufanya KAZI zinazoitwa white collar jobs, lazima wafanye pia mazoezi Ili kulinda AFYA Kwa ujira au faida ya KAZI wazifanyazo.
Najua unazijua KAZI nyingi zenye kulipa, zenye kuingiza kipato kikubwa, lakini, Leo katika mada hii nakuambia IPO KAZI yenye kulipa kuliko KAZI zote, yenye thamani kubwa unazozifahamu, fuatana nami tafadhali, usijekuwa unafanya KAZI Kwa HASARA.
MADA: KUHUBIRI INJILI, NI KAZI YENYE THAMANI KUBWA, INAYOLIPA KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI.
Ndivyo ilivyo, KAZI zote tunazofanya ni Kwa ajili ya tumbo, ikiwa tunafanya KAZI na kujihangaisha maisha yetu yote Ili kushibisha tumbo, na kuhakikisha familia na vizazi vyetu vinaishi maisha Bora, kula vizuri, kulala vizuri, kusafiri katika magari ya kifahari, kunywa nk nk, KAZI zetu ni BATILI, tunajihangaisha Kwa ajili ya CHOO.
Kula, kunywa kulala Si vitu muhimu vitupasavyo kuvihangaikia.
Ndege wa angani Wana mavazi, wanakula bila kulima shamba, wanakunywa na wanalala na kuamka kama sisi.
KWANINI KAZI YA KUHUBIRI INJILI INA THAMANI KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI?
Sababu kuu ya kwanini KAZI ya kuhubiri INJILI ,ni yenye thamani kuliko KAZI zote ni kuwa: KUHUBIRI INJILI KUNAHUSIKA NA KUOKOA ROHO.
Roho ya mwanadamu Ina thamani kuliko kitu chochote duniani, ndo maana tajiri akiwa katika kufa, Yu tayari Kutoa kiasi chochote Cha Fedha au Mali Ili asife lakini Haiwezekani.
Hakuna KAZI au Mali yoyote iliyo na thamani zaidi ya Roho ya mwanadamu, hivyo, kuvuna Roho zilizopotea na kuzirudisha ziwe hai na kuurithi Uzima wa Milele, ni KAZI yenye thamani kuliko zote Duniani.
1. Petro alikuwa mvuvi, aliacha uvuvi na kwenda kuhubiri INJILI.
2. Mtoza ushauri, TRA officer, aliacha KAZI yake na kwenda kuhubiri INJILI.
3. Luke aliacha Udaktari wake na kwenda kuhubiri INJILI.
Nimesguhudia watu wenye KAZI nzuri wakiziacha na kwenda kuhubiri INJILI.
Wengine wameacha uinjinia, uanasheria, ualimu, nk nk na kwenda kuhubiri INJILI, hivyo kamwe usidharau wahubirio INJILI ,ukadhani wamekosa KAZI ya kufanya.
JINSI YA KUHUBIRI INJILI.
Si wote wameitwa kuwa Wachungaji, wainjilisti au watumishi direct, unaweza kuhubiri INJILI Kwa njia ZIFUATAZO.
1. Ikiwa umeajiriwa, toa pesa zako sawasawa na utakavyosemeshwa na Mungu kusupport INJILI, utakuwa na utalipwa sawa na wahubiri INJILI, sababu umeshiriki kuwapeleka.
2. Ikiwa umejiajiri pia toa sehemu ya pesa zako, support INJILI, lipia ada watoto wa wahubiri INJILI, utakuwa umefanya KAZI yenye ujira kuliko KAZI yoyote duniani.
3. Ikiwa u MKULIMA, wape maskini chakula, waambie kuwa umetumwa na YESU sawasawa na maagizo yake. Wambie Yesu awapenda.
4. Ikiwa u tajiri, lisha yatima, wajane, hudumia wagonjwa hospitali, na Wambie, Yesu amekutuma kuhubiri INJILI Kwa njia hiyo.
Ikiwa hujaokoka, huna KIBALI Cha kuhubiri INJILI, fuatisha Sala hii kupata KIBALI Cha kuhubiri INJILI;
SEMA: EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.
Amen, Mbarikiwe nyote 🙏