BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Last edited by a moderator:
mwenye kifua kipana, alikwenda hewan na anayenijali internaly and externally. . .
kwa iyo akiwa na kifua chembamba...
lakini anakujali intenali na extenali itakuweje?
umenchungulia ndo ukaja kuandika hapa..
kifua ya cha jembe au nyundo?!mwenye kifua kipana, alikwenda hewan na anayenijali internaly and externally. . .
mwenye kifua kipana, alikwenda hewan na anayenijali internaly and externally. . .
atapata consideration kwa 80%
Preta, sisi wafupi ndiyo inakuwaje sasa?naomba kuigilizia.......
na mimi kama charminglady.........
teh teh teh! we dogo ulikuwa umefichwa wapi? ama ulichezea banana???????
naomba kuigilizia.......
na mimi kama charminglady.........
kwa mfano kama yupo ka Kagame vile au Kigoda anapata % ngapi? will he be considered?
acheni maneno jamani mbona mi mfupi kwenda juu lakini naheshimika kwa urefu wa kwenda mbele!
We dogo Junior. Cux upo?????umenchungulia ndo ukaja kuandika hapa..