KAKADO
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 230
- 336
Habari wanajamvi na Heri ya pasaka,wakati dunia inaendelea na mapambano dhidi ya Covid-19 sio vibaya tukaendelea kuchukua taadhari ikiwemo kutokuwa na mitoko isiyoyalazima,tutumie muda mwingi nyumbani kama ambavyo tumekuwa tukishauriwa na Wataalam wa afya.
Wanajamvi kukaa huku nyumbani kumenipa tafakuru hasa kutaka kufahamu ni jambo gani hasa huwa ni kero kutoka kwa mwenza/mpenzi wako na je huwa unatumia mbinu zipi kumrekebisha? ??
Binafsi nilikuwa na kero zifuatazo kutoka kwa wifi/shemeji yenu.
1.Kupigwa mzinga.wadada wa siku hizi unamtongoza leo tayari anakuamishia matatizo ya ukoo mzima,hili huwa linakera sana unagundua hapo hakuna mapenzi ni ushenzi,njia pekee ninayotumia bila kuwaudhi ni kula ganzi yani najizima data kama sio mimi mdogo mdogo namuachia manyoya na kamwe hatafutwi maisha.
2.Alikuwa muongeaji na mropokaji.hili jambo lilikuwa ni kero kwangu yani ilikuwa tukiwa kwenye mtoko wa jumuiya ya watu wengi yeye ilikuwa lazima afanye namna uwepo wake uonekane,anakuwa muongeaji sana sana.
Nilimrekebisa kwa kumtania nilimuita tarumbeta ya kijiji kila ninapoona dalili zakuanza kupitiliza kuongea nilitumia code ambayo mimi na yeye pekee tulikuwa tunaelewana nilifanya hivi kumtunzia heshima bila kumzalilisha.
3.kuzidisha chumvi kwa mboga..asee hili lilikuwa tatizo kipindi cha mwanzo wa ndoa yetu,sikuelewa tatizo ilikuwa nini nilipata tabu kumuelewesha Kwa useriously nikaamua kutumia mzaa, ilikuwa ikifika muda wa chakula namtania umefika muda wa kula chumvi hahahaha utani ulizaa matunda mwisho wa siku chumvi ikapungua.
4.Pale Kati kuwa gogo....hii ilikuwa changamoto mtoto wakichaga alikuwa ajui mambo kabisa kwa sababu nilimtoa UZI sikushangaa,nilikuwa naleta utani kumtania na kumfundisha taratibu we sasa hivi naomba poo wacha nisiseme sana mambo yachumbani haya mabaharia hamkawii kuiba
Wanajamvi tuambie kipi hasa nichangamoto kutoka kwa mwanamke/mwanaume au mchepuko wako? Ni njia ipi hasa huwa unaitumia bila kumuudhi? ?
Wanajamvi kukaa huku nyumbani kumenipa tafakuru hasa kutaka kufahamu ni jambo gani hasa huwa ni kero kutoka kwa mwenza/mpenzi wako na je huwa unatumia mbinu zipi kumrekebisha? ??
Binafsi nilikuwa na kero zifuatazo kutoka kwa wifi/shemeji yenu.
1.Kupigwa mzinga.wadada wa siku hizi unamtongoza leo tayari anakuamishia matatizo ya ukoo mzima,hili huwa linakera sana unagundua hapo hakuna mapenzi ni ushenzi,njia pekee ninayotumia bila kuwaudhi ni kula ganzi yani najizima data kama sio mimi mdogo mdogo namuachia manyoya na kamwe hatafutwi maisha.
2.Alikuwa muongeaji na mropokaji.hili jambo lilikuwa ni kero kwangu yani ilikuwa tukiwa kwenye mtoko wa jumuiya ya watu wengi yeye ilikuwa lazima afanye namna uwepo wake uonekane,anakuwa muongeaji sana sana.
Nilimrekebisa kwa kumtania nilimuita tarumbeta ya kijiji kila ninapoona dalili zakuanza kupitiliza kuongea nilitumia code ambayo mimi na yeye pekee tulikuwa tunaelewana nilifanya hivi kumtunzia heshima bila kumzalilisha.
3.kuzidisha chumvi kwa mboga..asee hili lilikuwa tatizo kipindi cha mwanzo wa ndoa yetu,sikuelewa tatizo ilikuwa nini nilipata tabu kumuelewesha Kwa useriously nikaamua kutumia mzaa, ilikuwa ikifika muda wa chakula namtania umefika muda wa kula chumvi hahahaha utani ulizaa matunda mwisho wa siku chumvi ikapungua.
4.Pale Kati kuwa gogo....hii ilikuwa changamoto mtoto wakichaga alikuwa ajui mambo kabisa kwa sababu nilimtoa UZI sikushangaa,nilikuwa naleta utani kumtania na kumfundisha taratibu we sasa hivi naomba poo wacha nisiseme sana mambo yachumbani haya mabaharia hamkawii kuiba
Wanajamvi tuambie kipi hasa nichangamoto kutoka kwa mwanamke/mwanaume au mchepuko wako? Ni njia ipi hasa huwa unaitumia bila kumuudhi? ?