Mhhh?hiyo mbinu imekaa kichangudoa hivi!What if jamaa hakutaki si ndio utakuwa umejidhalilisha?Mhhh!!!mie hiyo hapana kwa kweli bora tu nimwambie face to face kuwa nakupenda kuliko kujifunua funua
binu <> mbinu?
Hahaha nimechekaje?!! yaani paja langu nimfunulie mwanaume? na asiponipenda? Laa! nitamkatia jicho la mahaba tu!
Wewe ni mzima, kwa hyo uzima wako umekusaidia nini??
He he nlikuwa kitandani nikanyanyuka kutest hiyo mbinu....nikaishia kucheka tu...
Huyu shy land si mzima lol
And I continue to doubt your sanity...
Jamaniii...kiswahili pliiiz....
Nikionaga kwapa tu nimekamatika... ila jeusi hapana kabisa...
Lol. Sitaki uchokozi. Kalaleeee.