Je, Mwanamke anahitaji nini kutoka kwa Mwanaume?

Je, Mwanamke anahitaji nini kutoka kwa Mwanaume?

Ibn Unuq

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
5,296
Reaction score
9,656
Mtafiti mmoja alinunua kitabu chenye kichwa "Wanawake Wanahitaji Nini?"
Akakutana na vitu 2.000,
Akatabasamu,
Kisha akakichoma.

Kwa nini?
Kwa sababu katika asili,
Jike halina orodha ya vitu linavyovihitaji.

Ndege,
Wanyama,
Viumbe wote wa jamii ya kike huwa hawachagui kwa huruma au kwa kufuata maadili fulani.

Wanachagua uhakika wa uhai wao na kizazi chao.

Madume wa ndege na wanyama tofauti:
Hupigana,
Huimba,
Hujionyesha,
Hujenga viota,
Hulinda, na
Hutafuta chakula.

Ili tu wawavutie na kuwamiliki majike.

Hiyo siyo romance,
Ni baiolojia.

Binadamu wanajaribu kuipinga asili na kufuata kanuni walizojiwekea za maadili, dini, na tafiti laini laini.
Lakini uteuzi unabaki uleule.

Mwanamke huvutiwa zaidi na mwanaume mwenye:

Nguvu: uwezo wa kujiongoza, kuongoza, kuendeleza vitu na
kusimama imara kwenye shinikizo.

Uwezo: akili na mbinu za kutatua changamoto kwenye maisha.

Hadhi: nafasi yako kwenye mfumo wa kijamii ikoje?

Usalama: unaweza kumlinda kimwili, kiakili na kihisia?
Leo, kesho, na hata wakati wowote wa hatari?

Mwaname mwenye sifa hizo anauwezo wa kumpa mwanamke fursa, ulinzi na uzoefu.

Unajua kwanini inashauriwa usioe mwanamke ambaye yuko kwenye nafasi yenye nguvu; Mwanasiasa, Mwanasheria, Mfanyabiashara mkubwa na wengineo?
Kwasababu tayari anao uwezo wa kupata ambacho ilitakiwa akipate toka kwa mwanaume.

Ndiyo maana ukiwa unamfuatilia mwanamke kama huyo atakuuliza una nini cha kunipa?

Hakikisha wewe ndiye unakuwa kwenye position ya nguvu, uwezo, hadhi au usalama muda wote.

Upendo huja baadaye.
Mvuto hutangulia.
Huwezi kushindana na asili.
 
Usemi wa watu wengi ni kwamba mwanamke anataka hela.

Ila hawatuambii ni kiasi gani hicho wanachotaka.

Lakini ukweli ni kwamba hata sisi pia tunazitaka.

Kuzitaka ni kitu kingine na kuzipata ni jambo lingine.

Kwenye hii zama ya 50/50 natamani kuona jukumu la kutaka kupewa hela ambazo hujazofanyia kazi, liwe la pande zote mbili.

Kusitokee upande mmoja tu ndio unaotazamiwa kuwa mtoaji huku upande mwingine ukiwa ni mpokeaji.
 
Mtafiti mmoja alinunua kitabu chenye kichwa "Wanawake Wanahitaji Nini?"
Akakutana na vitu 2.000,
Akatabasamu,
Kisha akakichoma.

Kwa nini?
Kwa sababu katika asili,
Jike halina orodha ya vitu linavyovihitaji.

Ndege,
Wanyama,
Viumbe wote wa jamii ya kike huwa hawachagui kwa huruma au kwa kufuata maadili fulani.

Wanachagua uhakika wa uhai wao na kizazi chao.

Madume wa ndege na wanyama tofauti:
Hupigana,
Huimba,
Hujionyesha,
Hujenga viota,
Hulinda, na
Hutafuta chakula.

Ili tu wawavutie na kuwamiliki majike.

Hiyo siyo romance,
Ni baiolojia.

Binadamu wanajaribu kuipinga asili na kufuata kanuni walizojiwekea za maadili, dini, na tafiti laini laini.
Lakini uteuzi unabaki uleule.

Mwanamke huvutiwa zaidi na mwanaume mwenye:

Nguvu: uwezo wa kujiongoza, kuongoza, kuendeleza vitu na
kusimama imara kwenye shinikizo.

Uwezo: akili na mbinu za kutatua changamoto kwenye maisha.

Hadhi: nafasi yako kwenye mfumo wa kijamii ikoje?

Usalama: unaweza kumlinda kimwili, kiakili na kihisia?
Leo, kesho, na hata wakati wowote wa hatari?

Upendo huja baadaye.
Mvuto hutangulia.
Huwezi kushindana na asili.
Ndo maana kuwa mwanaume sio lelemama, mpaka wanaume skuizi wameamua kuukana uanaume na kuamia upande wa pili, wengi wameamua wawe mashoga ili wapate mserereko kama wanawake, unakuta mtoto wa kiume anajilegeza na kujibinua zaidi ya Dem Tena bila haya anagombania madanga na watoto wa kike

Asaivi wanaume wachache sana, wanawake wanazidi kuongezeka, wasipojifunza kujipambania wenyewe walivyo wengi namna hii wataolewa na nani au huo usalama watapewa na kina nani?

Au ndo ile ya mwanaume mmoja atagandwa na wanawake kumi, na Kwa hali ya Sasa hivi ni mwanaume Gani mwenye uwezo wa kuwarizisha wanawake wote kumi wakarizika wote Kwa usawa????
 
Usemi wa watu wengi ni kwamba mwanamke anataka hela.

Ila hawatuambii ni kiasi gani hicho wanachotaka.

Lakini ukweli ni kwamba hata sisi pia tunazitaka.

Kuzitaka ni kitu kingine na kuzipata ni jambo lingine.

Kwenye hii zama ya 50/50 natamani kuona jukumu la kutaka kupewa hela ambazo hujazofanyia kazi, liwe la pande zote mbili.

Kusitokee upande mmoja tu ndio unaotazamiwa kuwa mtoaji huku upande mwingine ukiwa ni mpokeaji.
Wakati wanawake wanaenda beijin kupigania usawa wa kijinsia hawakuwaza kwamba huo usawa utakuja na wajibu sawa pamoja na kupoteza privileges zote walizokua wanazipata kutoka kwa mwanaume.

Ukiangalia kwa undani utaona wanawake hawataki gender equality, isipokua wanataka selective equality, yaani wanataka wachague ni wapi na kwa namna gani wawe sawa na mwanaume.

Na hii ni ili waweze kubadilika kimsimamo kwa kuangalia masilahi yapo upande upi. Pale ambapo patriarch inawanufaisha wanaikana 50/50, na pale ambapo 50/50 inawanufaisha wanaikana patriarch. Hawawezi kwenda na ideology moja kwa ujumla wake kwa sababu wanataka benefits za kila upande lakini sacrifices hawazitaki
 
Wakati wanawake wanaenda beijin kupigania usawa wa kijinsia hawakuwaza kwamba huo usawa utakuja na wajibu sawa pamoja na kupoteza privileges zote walizokua wanazipata kutoka kwa mwanaume.

Ukiangalia kwa undani utaona wanawake hawataki gender equality, isipokua wanataka selective equality, yaani wanataka wachague ni wapi na kwa namna gani wawe sawa na mwanaume.

Na hii ni ili waweze kubadilika kimsimamo kwa kuangalia masilahi yapo upande upi. Pale ambapo patriarch inawanufaisha wanaikana 50/50, na pale ambapo 50/50 inawanufaisha wanaikana patriarch. Hawawezi kwenda na ideology moja kwa ujumla wake kwa sababu wanataka benefits za kila upande lakini sacrifices hawazitaki
Wanawake wa saizi walio wengi wamegundua ajira mpya kupitia miili yao.

Hawataki tu kusema wazi kuwa tunakuuzia ila utawaona wakija indirectly.

Utasikia siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume ambaye hanihudumii.

Haya, shida yako si hela na we ni jobless. Nikapambana nikamtafutia kazi anayolipwa hela nzuri tu.

Lakini vocha, nauli, hela ya kula, nguo. Vyote anaomba kwangu.

Na hapo anaishi kwao, na anampango wa kuhama akajipangie maana yake na kodi inaweza kuongezeka kwenye vizinga anavyopiga.

Nikagundua huyu mwanamke ni mbinafsi ambaye hana huruma na shukurani, nikamua kumlia buyu

Ndio maana mimi leo mtu akiniambia anaenda kununua malaya wala simshangai.

Mtu anaona bora atoe buku 10 achape asepe, kuliko kuingia kwenye mahusiano na mwanamke ambaye kila siku anapiga vizinga na uhakika wa kuwa na bwana mwingine ni mkubwa.
 
Usemi wa watu wengi ni kwamba mwanamke anataka hela.

Ila hawatuambii ni kiasi gani hicho wanachotaka.

Lakini ukweli ni kwamba hata sisi pia tunazitaka.

Kuzitaka ni kitu kingine na kuzipata ni jambo lingine.

Kwenye hii zama ya 50/50 natamani kuona jukumu la kutaka kupewa hela ambazo hujazofanyia kazi, liwe la pande zote mbili.

Kusitokee upande mmoja tu ndio unaotazamiwa kuwa mtoaji huku upande mwingine ukiwa ni mpokeaji.

Ni kweli hela ni sehemu ya usalama.
Tatizo ni wanapoirasimisha kuwa ndiyo njia pekee ya usalama.

Tatizo lao si kutaka pesa.
Tatizo lao ni kutaka pesa bila uwiano wa kutoa chochote.

Yeyote anayetaka kupewa bila kuchangia muda, akili, juhudi, au rasilimali,
Anatafuta mlezi,
Si mshirika.

Uhusiano wa kweli ni kubadilishana thamani,
Siyo kumlipia bili mtu kilasiku.

Kupokea tu bila kutoa ni utegemezi.
Wanaume dhaifu tu ndiyo wanaotoa kila kitu anachokitaka mwanamke.
 
Ndo maana kuwa mwanaume sio lelemama, mpaka wanaume skuizi wameamua kuukana uanaume na kuamia upande wa pili, wengi wameamua wawe mashoga ili wapate mserereko kama wanawake, unakuta mtoto wa kiume anajilegeza na kujibinua zaidi ya Dem Tena bila haya anagombania madanga na watoto wa kike

Asaivi wanaume wachache sana, wanawake wanazidi kuongezeka, wasipojifunza kujipambania wenyewe walivyo wengi namna hii wataolewa na nani au huo usalama watapewa na kina nani?

Au ndo ile ya mwanaume mmoja atagandwa na wanawake kumi, na Kwa hali ya Sasa hivi ni mwanaume Gani mwenye uwezo wa kuwarizisha wanawake wote kumi wakarizika wote Kwa usawa????

Wanawake wakisubiri kuolewa na wanaume sahihi,
Watachoka kusubiri.

Wanaume wakibeba majukumu yote ya mwanamke,
Watachoka kubeba.

Mwanaume mmoja hawezi kuwatosheleza wanawake kumi, Never!
Tafiti zisizo rasmi zinasema ili mwanamke aridhike sawasawa, anahitaji wanaume watatu wenye nguvu.

Mwanamke anaweza akakwambia
"Money talks",
Halafu kesho, mwanamke huyohuyo akaenda kulala na body builder for free kwa kigezo cha
"Mwanaume mashine".
 
Wanawake wakisubiri kuolewa na wanaume sahihi,
Watachoka kusubiri.

Wanaume wakibeba majukumu yote ya mwanamke,
Watachoka kubeba.

Mwanaume mmoja hawezi kuwatosheleza wanawake kumi, Never!
Tafiti zisizo rasmi zinasema ili mwanamke aridhike sawasawa, anahitaji wanaume watatu wenye nguvu.

Mwanamke anaweza akakwambia
"Money talks",
Halafu kesho, mwanamke huyohuyo akaenda kulala na body builder for free kwa kigezo cha
"Mwanaume mashine".
Aisee
 
Back
Top Bottom