Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,631
- 2,962
- Thread starter
- #81
Nimethibisha, nasubiri upinge.thibitisha sasa.
Nimethibisha, nasubiri upinge.thibitisha sasa.
Are starting another debate? Hii si mada yetu hapa...ikiwa Huna hoja za kutete Atheism ⚛️, njoo DM nikupe maelekezo ufanye repentance.
Na theory inaweza kuwa ni uongo pia si tunakubaliana Hilo au unakataa!!?Unaelewa kwamba kwenye sayansi kuna theories(nadharia) nyingi? Unajua maana ya theory? Unaweza kutenganisha theory na kuamini? Kitu ni theory ikiwa hakuna practical or vivid evidence, or not proven. right? That's means they just believe. Au wewe unadefine aje "kuamini"
Zima hisia, washa akili. Sema kingine.
Duh kwamba unaona umeongea jambo jipya mno.Atheism in public, ila privately mko na uoga wa kufa mtu🤣🤣🤣
Nae Mungu mwenye hiyo akili ya kuumba nae kaumbwa na nani?Mungu yupo kwa sababu sisi na hii dunia yetu imeumbwa KIAKILI - yaani INTELLIGENT DESIGN. Ntatoa mifano 2
- naamini sio ajali vile sisi ili tuishi - tunavuta hewa inayopumuliwa nje na mimea; nayo mimea ili iishi inavuta hewa tunayopumua nje... tunabadilishana.
- msemo na mstari wa biblia 'tuliumbwa kwa udongo, tutarudi kuwa udongo' ni dhahiri na ni bonge la akili manake aidha hii dunia sasa ingekuwa imejaa mizoga na harufu... pia Tai kusafisha mizoga, na mafunza (maggots) kuozesha mizoga kuwa udongo, ni uumbaji wa kutumia akili.
swali kali, ila naona ka vile linapingana na maana ya neno MunguNae Mungu mwenye hiyo akili ya kuumba nae kaumbwa na nani?
First cause paradox , ndio maana haya mambo yalifanywa yawe ya kiimani tuswali kali, ila naona ka vile linapingana na maana ya neno Mungu
Nakubaliana na hiloNa theory inaweza kuwa ni uongo pia si tunakubaliana Hilo au unakataa!!?