Je, Mungu yupo au hayupo?

Je, Mungu yupo au hayupo?

Logically, Atheists wote hutumia science kupinga uwepo wa mungu. Lakini sasa ni sayansi ambayo inathibitisha uwepo wa Mungu.
Kuna atheists wengi tu hawajui chochote kuhusu Sayansi.

Sayansi inathibitishaje uwepo wa mungu na inathibitisha uwepo wa mungu yupi?
 
binafsi hilo neno atheism sijui lilipo toka wala lina maana gani, ila kama ni kukubali habari za MUngu na kuzipinga vitu hivyo vilianza almost kwa pamoja kama kulwa na doto
Kasome tena historia, Atheism imekuja juzi tu. Ila binadam wameanza kuamini mungu miaka nenda rudi.
 
Screenshot_20260210-185841.png
 
Kuna atheists wengi tu hawajui chochote kuhusu Sayansi.

Sayansi inathibitishaje uwepo wa mungu na inathibitisha uwepo wa mungu
Atheist ambae hajui sayansi kisha anapinga uwepo wa Mungu ni limbukeni, kwa maana anapinga kwa hisia.
Sayansi inathibitisha uwepo wa Mungu, wazi wazi kupitia facts zilizopo kwenye quantum physics. Nenda kachimbue, au soma hapo juu.
 
Mtu akinambia kwamba "Viumbe hai hawatumii oxygen" lazima aniambie wanatumia nini!
Mtu akikuambia viumbe hai wanatumia Nitrogen dioxide na wewe hujui kama viumbe hai wanatumia Oxygen unatakiwa ufanyaje?

Mtu akikuambia Donald Trump ndiye rais wa Malaysia na wewe humjui rais wa Malaysia unatakiwa ufanyaje?
 
Mtu akikuambia viumbe hai wanatumia Nitrogen dioxide na wewe hujui kama viumbe hai wanatumia Oxygen unatakiwa ufanyaje?

Mtu akikuambia Donald Trump ndiye rais wa Malaysia na wewe humjui rais wa Malaysia unatakiwa ufanyaje?
Ukiniambia viumbe hai wanatumia Nitrogen dioxide, itabidi afanye kitu kimoja kuthibitisha, kama ambavyo mimi nakuthibishia uwepo wa mungu.
 
Kila kitu kina chanzo,je Mungu chanzo chake ni kipi?
 
Mimi sio msomi sana, sielewi quantum physics lakini;

Ninaposema siamini kwenye uwepo wa Mungu, simaanishi kwamba najua chanzo cha ulimwengu. Kwa kweli sijui.

Siamini kwenye hii miungu iliyotungwa na wanadamu(Yahweh, Allah nk.) kwasababu kuna mikinzano mikubwa kwenye maelezo yao.

Vile vile, sidhani kama dhana ya uungu ina maana moja kote duniani. Kila mtu anamtafsiri Mungu kulingana na tamaduni zake na mapito yake.

Kwahiyo je, ulimwengu una muumbaji? Labda. Na sijui kama atakuwa na sifa za uungu zilizoandikwa kwenye vitabu.

Tunatumia neno "atheist" kwasababu limezoeleka zaidi ila kuna aina nyingi za kutokuamini. Kuna "agnostics", "ignostics" na wengine wamechanganya vyote. Labda Kiranga ataweza kufafanua zaidi hapa, mimi sielewi elewi... Ila zingatia hili mkuu.
 
historia ya nani mkuu, hebu nipe hints kwanza atheism imeanza mwaka gani na muanzilishi nani?
huyu jamaa ameamua kuanzisha mada hii apate umaarufu tu hakuna kingine. Kama anaweza kujibu anijibu Mungu ni nani? thibitisha uwepo wake.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
huyu jamaa ameamua kuanzisha mada hii apate umaarufu tu hakuna kingine. Kama anaweza kujibu anijibu Mungu ni nani? thibitisha uwepo wake.
mkuu ye mwenyewe haelewi nini anaongea, we atakupa majibu gani unafikiri 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom