Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 21,748
- 46,673
Unataka mjadala wa kiimani bila kuwa specific imani ipi? Tutatumia reference za maandiko yapi?Wewe mzungumzie huyo unaeona ana sifa hiyo niliyo andika.
Unataka mjadala wa kiimani bila kuwa specific imani ipi? Tutatumia reference za maandiko yapi?Wewe mzungumzie huyo unaeona ana sifa hiyo niliyo andika.
Muache ujinga sasa wa kuuliza masuala ya kiroho. Ushaambiwa masuala ya MUNGU ni masuala ya kiroho, ya kiimani halafu mnataka kuyajadili nje ya imani za kiroho. Hilo si ni tatizo la afya ya akili sasa? 😀🤣Tumeshakataza mambo ya rohoni...rohoni rohoni ndo Nini..where is it...which...what...majini mashetani wako wapi...unatuambia hatuoni we unaona, tuonyeshe Bac
Mnamake stories afu mnakimbilia mambo ya kiroho kama kichaka
Bac naamini Santa Claus yupoGod is not the kind of thing that could be tested by the methods of natural science. The reason is that God is not a part of the observable universe, but rather the transcendent cause of the universe. So the inability of modern science to confirm God’s existence does not show that belief in God is unwarranted or irrational; but only that modern science does not have a monopoly on warranted rational belief about what exists.
🤣Tukiuliza mtu kiroho ni nini anajizugazuga..tofauti ya ulimwengu wa kiroho na story za kutunga nini asa..hata mi naweza sema Kuna ngombe mwenye vichwa Saba anapaa nakutoa moto ila nyie hamuoni yupo kwenye ulimwengu wa kiroho..🤣ni utoto tuMuache ujinga sasa wa kuuliza masuala ya kiroho. Ushaambiwa masuala ya MUNGU ni masuala ya kiroho, ya kiimani halafu mnataka kuyajadili nje ya imani za kiroho. Hilo si ni tatizo la afya ya akili sasa? 😀
Kwanza kabisa, kuweza yote ni nini na unajuaje kuweza yote kunawezekana na si dhana tu ambayo kiuhalisia, nje ya fikra, haiwezekani?Je, Mungu ni muweza wa yote?
Kama jibu ni ndiyo, basi tukubali mema na mabaya yote yake, yote mema na mabaya yanayo endelea ulimwenguni kote yeye ndio muhusika.
Ukiona unamchagulia yapi anafanya na yapi hafanyi kwa kutazama mazuri na mabaya basi tambua huyo Mungu sio muweza wa yote bali wa machache tena yale tu yanayo kufurahisha.
umefungwa uziUzi upo Mkuu mimi mbona nauona na comment ya mwisho.imewekwa nusu saa ilopita..
Ila umewekwa Jukwaa la dini..
Link.. https://www.jamiiforums.com/threads...i-inaendelea-kutendeka-huko-mbinguni.2197921/
That's your right,Bac naamini Santa Claus yupo
Ndo maana nasema ni tatizo la Afya ya akili.🤣Tukiuliza mtu kiroho ni nini anajizugazuga..tofauti ya ulimwengu wa kiroho na story za kutunga nini asa..hata mi naweza sema Kuna ngombe mwenye vichwa Saba anapaa nakutoa moto ila nyie hamuoni yupo kwenye ulimwengu wa kiroho..🤣ni utoto tu
Inawezekana ukaamini hilo na ukatengeneza fikra katika kichwa chako za uwepo wake na ukazirudisha katika maisha halisi na zikakugusa moja kwa moja in a +ve or -ve way.Bac naamini Santa Claus yupo
That not applies to people with NO beliefs, but people with different sincerely held beliefs.Inawezekana ukaamini hilo na ukatengeneza fikra katika kichwa chako za uwepo wake na ukazirudisha katika maisha halisi na zikakugusa moja kwa moja in a +ve or -ve way.
Imani ya uwepo wa MUNGU imekuwepo tangu enzi na enzi na haifutiki, unadhani vizazi na vizazi vilivyoamini vina akili ndogo kukushinda?
Haya masuala yapo nje ya uwezo wako kiimani, na ukitaka uyajadili nje ya imani hapo ndipo tatizo la Afya ya akili linapojionyesha.
That not applies to people with NO beliefs
Ni kweli kila mtu ana amini.Katika uhalisia hakuna mtu asiyeishi kwa imani. Suala ni kwamba anaamini nini? Mtu hajui kama kesho atakuwepo, ila anapanga mipango ya kesho, kwanini? Kwa sababu anaamini atakuwepo kesho ila ukimwambia leta ushahidi kuwa kesho atakuwepo hana.
OK mkuu.Ni kweli kila mtu ana amini.
Nilimaanisha imani kuhusu Mungu na mambo ya kiroho.
Ni rahisi sana agnostic kukuelewa kuliko atheist.
Wewe tumia imani unayo ona inaendana na mada kama hamna waachie watakao weza.Unataka mjadala wa kiimani bila kuwa specific imani ipi? Tutatumia reference za maandiko yapi?
Mtabishana tu bila fact za kiimani wala maandiko. Hoja zitakuwa katikati hapo, Kwa ufupi unachotaka ni mabishano yasiyo na hitimisho lenye maana.Wewe tumia imani unayo ona inaendana na mada kama hamna waachie watakao weza.
Umeamua kuisemea akili yako. Kwa uwezo wako wa akili upo sawaMtabishana tu bila fact za kiimani wala maandiko. Hoja zitakuwa katikati hapo, Kwa ufupi unachotaka ni mabishano yasiyo na hitimisho lenye maana.
😃😃 Huu ni mjadala huru mkuu walengwa watakuja tu hapa kutetea imani zao mimi ni host tu.
Kiranga atapambana nao 😃
Tsh umeona lengo la mjadala?Mtabishana tu bila fact za kiimani wala maandiko. Hoja zitakuwa katikati hapo, Kwa ufupi unachotaka ni mabishano yasiyo na hitimisho lenye maana.
Hii ndo hadithi ya kweli ya Santa clause...Bac naamini Santa Claus yupo
Kwanini usiboreshe kidogo mada kwa kuleta reference ya kimaandiko ya MUNGU awezaye yote wa imani A hilo swala likajadiliwa kwa misingi na reference ya imani husika na si nje ya hapo?Umeamua kuisemea akili yako. Kwa uwezo wako wa akili upo sawa