Je, Mungu aliumba dunia kwa miaka Elfu 6?

Je, Mungu aliumba dunia kwa miaka Elfu 6?

Aliumba vitu hivyo akiwa pale alipo.

Kwa sababu hata baada ya kuviumba bado hayo sio makazi yake
Pale alipo wapi?

Nataka kujua hapo alipokua kipindi anaumba hivyo vitu palikua ni wapi
 
Kuna tofauti kati ya utaratibu na uumbaji.Hapa tunazungumzia uumbaji mkuu.Sitambui habari ya siku kuwa na saa 24 ila natambua Mungu aliumba Muda panapo bing bang pamoja na mifumo yote ikiwemo jua na sayari zake zinazoizunguka na kujizungusha yenyewe.Biblia inaposema Mungu akafanya upinde wa mvua kama ishara ya agano sayansi inatueleza sasa ni kwa jinsi gani alifanya kwamba mwale wa mwanga unapopita katikati ya tone la maji huonyesha rangi zake 7 ROYGBIV.Lakini Biblia haielezi kwa upana huo.
- Alipo andika miaka 6000 alikua anamaanisha nini?

- Hivi unajua hata Bing bang ni nini? Paka uchanganye uumbaji na bing bang kweye sentensi moja?
 
"Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika"

Biblia imeandika wazi kabisa kwamba hapo mwanzo palikuwepo na yule aliyepo nje ya muda wa ulimwengu ambaye ndiye chanzo cha bing bang ambaye aliumba muda wa ulimwengu na vyote vilivyomo
- Nitaandika kama nilivyo andika mwanzo, as far as religion is concerned biblia sio theory bali ni kitabu chenye maneno ya kiimani, On the other hand science is based on proven facts.

- You can not by any means prove that God created the world in n number of days, ila kwa misingi ya dini unatakiwa uamini hivyo blindly and without questions.
 
Unaweza eleza kwa ushahidi?


Nenda kasome Qur'an:---

21:30------ on Big bang.
21:104----on Black hole.
51:47-----on expanding universe.

Pia Qur'an inasema kuna viumbe wengine katika anga za juu (heavens) na Allah akipenda atatuunganisha nao, yaani Allah akitaka atatuunganisha kwa njia ya mawasiliano na hao viumbe (intelligent beings).
 
ila kwa misingi ya dini unatakiwa uamini hivyo blindly and without questions.


Imani ya aina hiyo ni "baseless",

believing in something blindly is like a blind person moving around in an environment infested with racing cars, can you imagine what would happen in that event??!
 
Mimi nina mchango tofauti swala Hilo ninafikiri Roho wa mungu yupo ndani yetu siku ya kihama mungu atakuwa na nguvu zaidi baada ya Roho zote kufa hapa dunia
 
Pale alipo wapi?

Nataka kujua hapo alipokua kipindi anaumba hivyo vitu palikua ni wapi
Mkuu hivi fundi ujenzi akijenga nyumba anakuwa wapi?

MUNGU ni Fundi wa mafundi. .hashindwi.
 
Nenda kasome Qur'an:---

21:30------ on Big bang.
21:104----on Black hole.
51:47-----on expanding universe.

Pia Qur'an inasema kuna viumbe wengine katika anga za juu (heavens) na Allah akipenda atatuunganisha nao, yaani Allah akitaka atatuunganisha kwa njia ya mawasiliano na hao viumbe (intelligent beings).
Sura gani mkuu?
 
Hizo "siku" sita ni nyakati sita.

Nyakati ni "cycles", umri wa dunia ni mabilions ya miaka, sasa ukigawanya hayo mabilions ya miaka utapa kila nyakati una umri wa bilions kadhaa za miaka.

Katika kila nyakati umbo la dunia lilikuwa likibadilika hadi nyakati ya mwisho (ya 6) dunia ilipochukua sura kamq hii t unayoiona leo, sura ambayo ina mito, maziwa, bahari, Ozone layer, atmosphere, viumbe hai nk,.

Mungu kupumzika katika siku ya 7, maana yake (yawezekana) ni kwamba katika nyakati ya 7 duniani hakukutokea au hakutatokea mabadiliko yoyote yaani Mungu hakufanya commandment yoyote kubadilisha umbo la dunia, Mungu kupumzika haina maana kwamba Mungu alichoshwa na shughuli za uumbaji na akaamua kupumzika, lazima tukumbuke kuwa Mungu ni mkamilifu katika kila hali, hasinzii, halali, hali, hanywi, hachoki nk, tukisema kwamba Mungu alipumzika jinsi tunavyopumzika sisi viumbe vyake basi ipo siku (apishe mbali) wstu watasema Mungu atakufa kama jinsi viumbe wake tunavyokufa. Mungu apishe mbali na atuepushe na fikra mbovu za kumdhalilisha.
Nani alifasiri siku sita kama nyakati sita. Nyakati ni nini hasa ?
 
Imani ya aina hiyo ni "baseless",

believing in something blindly is like a blind person moving around in an environment infested with racing cars, can you imagine what would happen in that event??!
From religion point of view! We are all blind people moving around in an environment infested with racing cars.. and the only thing that gives us hope is the belief that ts safe once we get on the other side (without knowing what's on the other side)[emoji1][emoji1][emoji1]. Faith without doubts/questions.
 
From religion point of view! We are all blind people moving around in an environment infested with racing cars.. and the only thing that gives us hope is the belief that ts safe once we get on the other side (without knowing what's on the other side)[emoji1][emoji1][emoji1]. Faith without doubts/questions.


A religion which mould a man minds into that way of blindness is the dead one.
 
Hizo "siku" sita ni nyakati sita.

Nyakati ni "cycles", umri wa dunia ni mabilions ya miaka, sasa ukigawanya hayo mabilions ya miaka utapa kila nyakati una umri wa bilions kadhaa za miaka.

Katika kila nyakati umbo la dunia lilikuwa likibadilika hadi nyakati ya mwisho (ya 6) dunia ilipochukua sura kamq hii t unayoiona leo, sura ambayo ina mito, maziwa, bahari, Ozone layer, atmosphere, viumbe hai nk,.

Mungu kupumzika katika siku ya 7, maana yake (yawezekana) ni kwamba katika nyakati ya 7 duniani hakukutokea au hakutatokea mabadiliko yoyote yaani Mungu hakufanya commandment yoyote kubadilisha umbo la dunia, Mungu kupumzika haina maana kwamba Mungu alichoshwa na shughuli za uumbaji na akaamua kupumzika, lazima tukumbuke kuwa Mungu ni mkamilifu katika kila hali, hasinzii, halali, hali, hanywi, hachoki nk, tukisema kwamba Mungu alipumzika jinsi tunavyopumzika sisi viumbe vyake basi ipo siku (apishe mbali) wstu watasema Mungu atakufa kama jinsi viumbe wake tunavyokufa. Mungu apishe mbali na atuepushe na fikra mbovu za kumdhalilisha.
Kuna watu kwa kujifanya Vijuzi hamjambo... Vinaongea utadhani vinamfahamu Mungu... Eti Mungu hali wala hanywi n.k n.k wewe kama ni muumini unatakiwa ufuate maandiko na hutakiwi kuleta akili zako za kubadilisha maneno haya na kuyageuza kuwa mengine... Imeandikwa Dunia na Viumbe vimeubwa kwa Siku Sita na Siku moja kwa Mungu ni Miaka elfu kubali tu kwani ndio maandiko wewe huna la kubisha kama ulivyo na asili yako ya ubishi tulia acha kubishana na Maandiko.... Siku moja ni sawa na Miaka Elfu unabisha katafute Mungu wako Mwingine utakayekuwa unabishana nae kwa kumgeuzia maneno utakayo wewe... Ole wao watakao badilisha nano katika kitabu chake...

Kisayansi maandiko ya Siku Moja ni sawa na Miaka Elfu inakubalika ukitoka nje ya Mfumo wa Dunia siku zako hazisogei na wala huzeeki kidunia kwani Dunia inapozunguka na vilivyomo ndio vinachoka ndani ya huo mzunguko so fuatilia Sayansi utaelewa vizuri... yaani au google Intersteller utaelewa fresh. Albert einstein aligundua nini... Hata Wewe nikukutia ndani ya Pira nikalifunga Mota kisha uzungushwe mara elfu hakika utachoka na mimi nikiwa nje nakutizama nitabakia the same bila kuchoka na kama ikiwa ndio maisha ya hivyo wewe utazeeka mapema kuliko mimi... so pata picha hapo Mungu yupo nje ya mzunguko wa Dunia.. na tambua kuwa Dunia huzunguka kwa kasi sana sio unavyodhania au kutizama mawingu yanavyo sogea pole pole angani
 
Back
Top Bottom