Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,602
- 14,075
- Thread starter
- #21
Kwa msingi wa swali lako mkuu ina maana hauamini kwamba Mungu ndo muumba wa dunia?Iliumbwa na mungu au naye aliikuta tu?
Kwa msingi wa swali lako mkuu ina maana hauamini kwamba Mungu ndo muumba wa dunia?Iliumbwa na mungu au naye aliikuta tu?
Je, biblia imejitekenya yenyewe na kucheka yenyewe?.Mkuu nimeelewa vizuri sana swali lako ila Mimi sijasema kwamba Mungu anaishi mbinguni bali ni biblia yenyewe ndo imesema hivyo
Nauliza kwa kutaka nijue, kwani jibu la hilo swali we hulijui?Kwa msingi wa swali lako mkuu ina maana hauamini kwamba Mungu ndo muumba wa dunia?
Kwani mkuu wewe una amini Mungu anaishi wapi?Je, biblia imejitekenya yenyewe na kucheka yenyewe?.
Mkuu "scars"kwa mujibu wa biblia Mungu yuko mbinguni nje na hapo sitakuwa na jibu lingineNauliza kwa kutaka nijue, kwani jibu la hilo swali we hulijui?
Swali fikirishi kwa kweli....Kwa mujibu wa Biblia takatifu Mungu aliumba Dunia kwa siku sita na kumpumzika siku ya saba kulingana na kitabu cha Mwanzo.
Lakini kuna dhana ya kwamba siku moja mbinguni ni sawa na miaka elfu moja duniani pia nikinyume na kwamba miaka elfu duniani ni sawa na siku moja mbinguni.
Pia kulingana na dhana hiyo tunaweza pata kitu hiki, kwamba Mungu alipumzika siku ya saba hii inaweza toa taafsiri kuwa Mungu alipumzika miaka elfu moja baada ya kuumba dunia.
Swali muhimu la kujiuliza ni kwamba siku ambazo dunia iliumbwa na Mungu zinahesabiwa katika hali ipi ya kuhesabu siku kidunia au kimbinguni?
Wajuzi wa mambo naomba ufafanuzi katika hilo.
El perdode
Yupo ila haishi mbinguni.Kwani mkuu wewe una amini Mungu anaishi wapi?
Anaishi wapi mkuu?Yupo ila haishi mbinguni.
Iliumbwa na mungu au naye aliikuta tu?
Hizo "siku" sita ni nyakati sita.
Nyakati ni "cycles", umri wa dunia ni mabilions ya miaka, sasa ukigawanya hayo mabilions ya miaka utapa kila nyakati una umri wa bilions kadhaa za miaka.
Katika kila nyakati umbo la dunia lilikuwa likibadilika hadi nyakati ya mwisho (ya 6) dunia ilipochukua sura kamq hii t unayoiona leo, sura ambayo ina mito, maziwa, bahari, Ozone layer, atmosphere, viumbe hai nk,.
Mungu kupumzika katika siku ya 7, maana yake (yawezekana) ni kwamba katika nyakati ya 7 duniani hakukutokea au hakutatokea mabadiliko yoyote yaani Mungu hakufanya commandment yoyote kubadilisha umbo la dunia, Mungu kupumzika haina maana kwamba Mungu alichoshwa na shughuli za uumbaji na akaamua kupumzika, lazima tukumbuke kuwa Mungu ni mkamilifu katika kila hali, hasinzii, halali, hali, hanywi, hachoki nk, tukisema kwamba Mungu alipumzika jinsi tunavyopumzika sisi viumbe vyake basi ipo siku (apishe mbali) wstu watasema Mungu atakufa kama jinsi viumbe wake tunavyokufa. Mungu apishe mbali na atuepushe na fikra mbovu za kumdhalilisha.
Kwenye biblia nilizosoma sikumbuki inayosema Mungu alipumzika siku ya Saba. La hasha.Sasa mkuu biblia inaposema Mungu alipumzika siku ya saba ina maana gani? Maana kulingana na maelezo yako umekataa
Basi unaruhusiwa kuchunguza, na ndo utajua hata alie andika amekuficha mengi sana mfani Adamu aliumbwa na lilithi na sio Hawa, hawa aliumwa baada ya makosa ya lilithi.Mkuu sasa utakuwa vipi na imani juu ya jambo fulani wakati hujui msingi wake?
kama huna akili au roho wa utambuzi kamwe huwezi kuelewa milele.
So kabla ya hapo makazi yake yalikuwa wapi?Iliumbwa na Mungu
So kabla ya hapo makazi yake yalikuwa wapi?
Ukichukulia uumbaji kwa muktadha huu wa "cycle" za billions of years, basi dhana hii ya uumbaji inakubalina na dhana ya "Big Bang" na evolution zinazotetewa sayansi!
So hata mungu mwenyewe hakuwepo?Kabla ya hapo hakukuwa na chochote.
Nothing.