Unajua kwanini nimekwambia vile? Kwasabb huna akili kabsa jambo jepesi kama hili unashindwaje kuchukua hatua? Mali za mkeo ni zako na watoto wenu lkn wewe upo tu unatembea umebeba kichwa kama mzigo.Hapana mkuu
Ukute alitelekeza mke wakat wa kuuguzaHatujui kulikuwa na mazingira gani ikawa hivyo lakini huenda kuna sababu ingawa simshauri aanike kila kiyu humu.
Yeye akajieleze kinagaubaga kwa Mwanasheria wajue kwa kuanzia.
Inaonekana alilishwa kitu,Msimamizi anachuguliwaje na wakwe zako wakati mume upo hai?
Hapo ndo pakuanzia! Ulibugi hapo kwenye hatua ya kwanza.
Wewe msaada umeshapewa na wanajamvi tayari.Kufiwa na mke si jambo rahisi kaka,hata mimi huwa najiuliza nilikubalije?I wish ungekuwepo siku hiyo,maybe ungekuwa msaada kwangu,nahitaji kutoka hapa sasa,msaada tafadhali.
Wee jamaa mbona kama una mafanikio ila kilazaaa kinomaa Yani unakubali msimamizi wa mirathi awe Mtu mwingine na wew upo hai... shule shulee shuleee..Hapo nakubali kweli nilibugi,ila kutokana na hali niliyokuwa nayo wakati huo sikufikiria athari ambayo ingeweza kujitokeza baadaye,na tayari tatizo limejitokeza,ndiyo maana leo nipo hapa kuomba busara zenu ndugu zangu ili nijikwamue kutoka hapa,mbaya zaidi kuna vyumba vingine nilianza kuvijenga baada ya msiba,kwenye eneo hilohilo,na vipo kwenye hatua za ukamilishaji,ila amepiga makofuli vyote,kwa hiyo hata siwezi kuviendeleza,msaada jamani.
Mahakamani nenda ukaeleze kwamba msimamizi wa mirathi anafanya tofauti ili atenguliwe au muwe wasimamizi wawili (wewe na yeye). Hyo inawezekana na nilishaona kwenye familia ambayo baba alioa mke zaidi ya mmoja wote wakawa hawaaminianiNimekiri kukosea,nafanyaje sasa?mahakamani sitapata suluhisho?
Huyu jamaa anatia aibu Sana,Wee jamaa mbona kama una mafanikio ila kilazaaa kinomaa Yani unakubali msimamizi wa mirathi awe Mtu mwingine na wew upo hai... shule shulee shuleee..
Ushauri kabila gani huu!Nenda usiku na dumu la lita 20 ya petrol usisahau na kiberiti, tia moto halafu sepa zako mkose wote hapo kesi kwishaaaaa.
Mkuu,Hapo nakubali kweli nilibugi,ila kutokana na hali niliyokuwa nayo wakati huo sikufikiria athari ambayo ingeweza kujitokeza baadaye,na tayari tatizo limejitokeza,ndiyo maana leo nipo hapa kuomba busara zenu ndugu zangu ili nijikwamue kutoka hapa,mbaya zaidi kuna vyumba vingine nilianza kuvijenga baada ya msiba,kwenye eneo hilohilo,na vipo kwenye hatua za ukamilishaji,ila amepiga makofuli vyote,kwa hiyo hata siwezi kuviendeleza,msaada jamani.
Aisee,ujinga nimeukubali,mengine ntayashughulikia accordingly,asante mkuu.Unajua kwanini nimekwambia vile? Kwasabb huna akili kabsa jambo jepesi kama hili unashindwaje kuchukua hatua? Mali za mkeo ni zako na watoto wenu lkn wewe upo tu unatembea umebeba kichwa kama mzigo.
Kama watoto unaishi nao maana yake hata Kama ungekuwa huna ndoa na huyo marehefu bado Mali zingekuwa ni za watoto wa marehemu ambao ni wako pia.
Wewe ni mjinga , ndiyo narudia tena wewe ni mjinga huyo shemeji yako ameshakuona fala ndiyo maana ameamua kufanya atakavyo.
Kifupi mali zote za marehemu alizochuma kabla na baada ya ndoa mwenye haki nazo kwa 100% ni watoto wake.
Kama bado hujui cha kufanya hao wanao wamesha kosa wazazi wote wawili.
Wewe mtu katoka kufiwa tena mkewe mpendwa angepata wapi hizo nguvu? Msipende kulaumu tu..pole sana@capt tamar..nenda kwa wanasheria watakusaidiaWw ni mtu mzima,kwa nini ulishindwa kushinikiza ili uwe msimamizi wa.mirathi.Kama kweli una haki katika mali hizo mkatae huyo msimamizi.Wanasheria watakusaidia zaidi
Niliuguza bila msaada wa ndugu zake,kwa hilo sina hatia mkuuUkute alitelekeza mke wakat wa kuuguza
Maana ukifanya hivyo asee nguvu ya kudai ya mbeleni inakuwa ndogo
Pole sana kwa kumpoteza mke wako, na pia kwa changamoto unazopitia. Nilichojifunza kwenye hili tatizo lako, ni kwamba hamkuwa na serikali moja! Na ndiyo maana kumetokea hizo changamoto kwenye usimamizi wa hizo mali.Mkuu UMUGHAKA ni mke wangu wa ndoa kabisa,ndoa ya kanisani,na vyeti via ndoa ninavyo,tumejaaliwa watoto wawili,wote wapo shule na vyeti vyao vya kuzaliwa ninavyo,mke wangu tulimzika nyumbani kwangu,hapa hapa ninapoishi sasa.