Je, mtu huyu nimfungulie kesi ya aina gani?

Una makosa mengi ulifanya mkuu

1. Kosa la kwanza
Kununua kiwanja Cha ukweni kwako

2. Kosa la pili,
Kujenga kwenye kiwanja Cha ukweni

3. Kosa la tatu,
Kumruhusu shemej yako kusimamia ujenzi

4. Kosa la nne,
Kumruhusu shemej yako kusimamia Kodi za wapangaji

5. Kosa la tano,
Kuruhusu shemej yako kua msimamizi wa mirathi

Nnachokiona hapa,
Hata kabla ya mkeo hajafariki,
Haukua na power yoyote ya kimaamuzi kwenye familia yako Kama baba wa familia

Kingine,
Hata baada ya mkeo kufariki,
Bado inaonyesha unakosa power ya kimaamuzi Kama baba wa familia yako.
Very TECHNICAL MISTAKES!

Wengine sie ukweni na upande wa wakwe tunasalimiana tu na kushirikiana issues za msingi. Hayo ya kuwekeza unawashirikisha wakwe ili iweje, huna ndugu zako?
 
Ma ndugu ya kibongo sio ya kuyakaribisha hata kukaa nayo home huwa ndo masoma weakness point ya familia yenu akifa ndugu yao utasumbuana nayo kama nzi kwenye kimba
 
Ww ni mtu mzima,kwa nini ulishindwa kushinikiza ili uwe msimamizi wa.mirathi.Kama kweli una haki katika mali hizo mkatae huyo msimamizi.Wanasheria watakusaidia zaidi
Walimseti mtu wa kukusumbua wewe ukabariki msimamizi kaka yake kwani wewe ni ndugu yao mmefiwa na mama yenu au? Kuna haja ya kuandika mirathi kabisa kupunguza huu ujinga
 
Walimseti mtu wa kukusumbua wewe ukabariki msimamizi kaka yake kwani wewe ni ndugu yao mmefiwa na mama yenu au? Kuna haja ya kuandika mirathi kabisa kupunguza huu ujinga
Nimeshakiri kosa mkuu,ndiyo maana nimekuja kwenu mnisaidie kutoka hapa nilipo,hii issue inaniumiza kichwa sana.
 
Nikisoma reply zako zinaonesha wew ni mpole sana.Em waoneshe upande wako wa pili wakuheshim. Chunga isitengeneze shimo akili kumkichwa
Nadhani upole unatafsiriwa tofauti,ukiwauliza watu wawili kama mimi ni mpole mmoja atasema ndiyo na mwingine atasema hapana,hapa natafuta suluhu ya kisheria,lakini kuna pengine nimepeleka kijeuri na ika fit,sipo kama unavyonisoma mkuu,kila kitu kinaenda kwa utaratibu wake,hapa nahitaji ushauri wa kisheria zaidi,asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom