ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,661
- 90,135
Very TECHNICAL MISTAKES!Una makosa mengi ulifanya mkuu
1. Kosa la kwanza
Kununua kiwanja Cha ukweni kwako
2. Kosa la pili,
Kujenga kwenye kiwanja Cha ukweni
3. Kosa la tatu,
Kumruhusu shemej yako kusimamia ujenzi
4. Kosa la nne,
Kumruhusu shemej yako kusimamia Kodi za wapangaji
5. Kosa la tano,
Kuruhusu shemej yako kua msimamizi wa mirathi
Nnachokiona hapa,
Hata kabla ya mkeo hajafariki,
Haukua na power yoyote ya kimaamuzi kwenye familia yako Kama baba wa familia
Kingine,
Hata baada ya mkeo kufariki,
Bado inaonyesha unakosa power ya kimaamuzi Kama baba wa familia yako.
Wengine sie ukweni na upande wa wakwe tunasalimiana tu na kushirikiana issues za msingi. Hayo ya kuwekeza unawashirikisha wakwe ili iweje, huna ndugu zako?