Free Again
Senior Member
- Dec 20, 2015
- 114
- 93
Nawasalimu !
Mwaka 2013 nilimpoteza kaka yangu kwa ajali ya pikpiki. Yeye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mimi kipindi hicho nilikuwa chuo mwaka wa Kwanza.
Baada ya mazishi na msiba kuisha, kikao kilikaa kwa ajili ya mirathi na mimi ndiye niliteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi, lakini sikuweza kusimamia kwa sababu nilikuwa bize na chuo.
Kwa hiyo nilishauriwa ni deligate hilo jukumu kwa mtu mwingine aliye free kidogo ambaye alikuwa shemeji yaani mke wa marehemu. Nikaandika barua ya kubadilisha msimamizi wa mirathi.
Sasa tangu mwaka huo anafuatilia, lakini wanampiga kalenda tu. Kuna wakati wanasema walioandikwa kwenye mirathi wafungue akaunti Maana pesa iko karibu kutoka lakini ukweli hakuna kinachoingizwa.
Sasa, nasikia kuna watu wanapata mirathi. Je wanafuata HATUA zipi? Vitu gani vinasababisha kupata au kukosa kwa mirathi hata kama umefuata HATUA zote?
Je miaka yote hii (karib 10) mirathi haija expire?
Watalaam/wajuzi/wanasheria nisaidieni!
Mwaka 2013 nilimpoteza kaka yangu kwa ajali ya pikpiki. Yeye alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mimi kipindi hicho nilikuwa chuo mwaka wa Kwanza.
Baada ya mazishi na msiba kuisha, kikao kilikaa kwa ajili ya mirathi na mimi ndiye niliteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi, lakini sikuweza kusimamia kwa sababu nilikuwa bize na chuo.
Kwa hiyo nilishauriwa ni deligate hilo jukumu kwa mtu mwingine aliye free kidogo ambaye alikuwa shemeji yaani mke wa marehemu. Nikaandika barua ya kubadilisha msimamizi wa mirathi.
Sasa tangu mwaka huo anafuatilia, lakini wanampiga kalenda tu. Kuna wakati wanasema walioandikwa kwenye mirathi wafungue akaunti Maana pesa iko karibu kutoka lakini ukweli hakuna kinachoingizwa.
Sasa, nasikia kuna watu wanapata mirathi. Je wanafuata HATUA zipi? Vitu gani vinasababisha kupata au kukosa kwa mirathi hata kama umefuata HATUA zote?
Je miaka yote hii (karib 10) mirathi haija expire?
Watalaam/wajuzi/wanasheria nisaidieni!