la Jeneral
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 392
- 57
kazi kweli kweli i will be back
unaona eeeh sasa nashangaa watu wanaotaka mtoto awe wa kwake kivipi, mtoto aliyeko kwenye ndoa yangu ni wangu tuu.As long as huyo mtoto yupo ndani ya himaya yangu ni wa kwangu, hata kama ikigundulika miaka 15 baadae si wa kwangu kimsingi nitakuwa tayari nimeshakuwa baba yake.
Yaaminika asilimia 44.77 ya wanandoa wanatunza watoto si wao..pengine wengi wameamua kukaa kimya sababu mateso yake ni bora waendelee kulea hivyo hviyo watoto wa wenzao..je wewe unalea wako ??
Majibu ya hekima ni busara kwa anaesubiri ndoa
Mtoto wangu ameingia std 7 this yr! Wala huwezi kuuliza. Utadhani tumezaliwa tumbo moja. Wengi wakiniona nae wanadhani ni mdogo wangu kwa jinsi tunavyofanana!
Mambo ya ndoa ni mengi ila ukweli kwamba kuna watoto wa ndoa unabaki palepale ingawa haikatai kwamba kuna "watoto wa nje ya ndoa" ndani ya ndoa!
mtoto wangu anavyonipenda na mm ninavyompenda wala siwezi anza kufikiria vitu kama hivyo..Nikapime then what??? sometimes sio vizuri kutafuta matatizo, kama kuna sababu ya kufanya hivyo nitafanya ila kwasasa hapana......
unaona eeeh sasa nashangaa watu wanaotaka mtoto awe wa kwake kivipi, mtoto aliyeko kwenye ndoa yangu ni wangu tuu.
Wototo wote alio zaa mke wangu ni wangu 100%
Sisi wengine tunatazama wapi pakuoa, kabla ya kuoa :biggrin:
Asante sana.hongera.
Yaaminika asilimia 44.77 ya wanandoa wanatunza watoto si wao..pengine wengi wameamua kukaa kimya sababu mateso yake ni bora waendelee kulea hivyo hviyo watoto wa wenzao..je wewe unalea wako ??
Majibu ya hekima ni busara kwa anaesubiri ndoa