ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Last edited by a moderator:
ahahhahahhaa ila hakyanani Mtambuzi u are one of ur kind aseee!
sasa hiv ulifikiria nini kuanza kumpiga picha huyu dada pamoja na hilo tangazo lakini?
yani nawaza the moment uko busy unabadilisha gear huku unapiga picha kwa sababu kwa angle ya hizo picha ulikuwa unaendesha huku unafotoa!
KHAAA!
kuna watu huwa sipati picha mama zao walipataje shida wakati wa utoto wao!
KUDOS!
Kumbe huyo ni we we ?...hongera zako Kwa 'KUJAALIWA NEEMA ZA MWENYEZI MUNGU'
Mi sipendagi uchokozi ujue.... Christmass imekaribia jamani jamani jamani.........
Lileee linaonekana kwa mbali .........
Hapa linaonekana kwa karibu kidogo.......
Hapa sasa ndio linaonekana kwa karibu zaidi............
CC: KakaKiiza, Asprin, Vin Diesel, jouneGwalu, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, Mentor, mwekundu, Kaizer, Ruttashobolwa, Elli
nakuangalia tu unavyoangalia matangazo ya Mtambuzi!
ulijua nime:sleepy:,we haya!
Marahaba mwanangu, Je na wewe umeliona hilio Tangazo.......?
Makosa yako, kila siku unaniandalia sijui chai gani ile wakati Chai bora ndio habari ya mujini... lol
Hata hivyo baby sijanywa chai yennyewe ila nimefurahia tanagazo tu....
Naridhika na Chai yako tu
Nimeipenda narration yako....kufikisha ujumbe uliopenda uwafikie watu... Ila mkuu dadda yupo uswazi sana...mazingira yanaonyesha...huyu dada ndo wale...haipiti wiki mbili wako hospitali kucheki na kutibiwa UTI
Yeye ana date mabint ambao hawaugui UTI wanaugua Gono tu!!!mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiou KUNA WATU MKIWA KWENYE HIZI KEYBOARDS HUWA MNAAMINI NI BORA SANA KULIKO WENGINE!
sijui kwanini huwa mnaamini hivyo sijui kwa kweli!
WEWE USIYE USWAZI UNA niiiiini mbwiga weeeee?