Je mnaliona tangazo la Chai Bora...?

Mkuu Mtambuzi

Nadhani ulikusudia watu waone mp*d*d*
lakini ukaweka tungo tata kwakusema
tangazo la Chai Jaba
 
Mtambuzi kweli hujatulia....mazingira hayo hilo tangazo litaonekana kweli? Na wewe njia yooote huko ulikuwa unahakiki kama matangazo yako ya chai bora yanaonekana au ulikuwa unafuatilia huyo anayefuatilia matangazo ya chai bora?
 
Mtambuzi huyo wa chai bora anataka kubandua hilo tangazo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mtambuzi ngoja nifikiche macho kwanza, nadhani uzee huu siwezi kuona vitu vya mbali.....
 
Last edited by a moderator:
Chai bora kilele cha uboraaaaaaaa.....
Chai bora ni majani ya Tatepaaaaaa...
Iwe ya maziwa isiwe ya maziwaaaaa....
Chai bora utafurahiiiiiiiiiiiiiiiiii.........chichiemu oyiii
 
Jamani mbona watu wengine ni wachokozi hivi? Wewe mleta mada hukuogopa kuligonga hilo tangazo la chai bora?

Tiba
 
attachment.php


Lileee linaonekana kwa mbali .........

attachment.php


Hapa linaonekana kwa karibu kidogo.......

attachment.php


Hapa sasa ndio linaonekana kwa karibu zaidi............


Ha haha umetisha Mkuu. Kweli Chai bora hii itakua ya Juma Nature. Hapa hakuna kulalamika kuungua
 
WE MZEE UNAZEEKA VIBAYA WEWE!
mi kila siku namwambia jouneGwalu abadilishe mshenga hasikiii!
sasa matangazo ya chai bora unayaleta huku umelipia?nakuuliza umelipia?
 
Last edited by a moderator:
ahahhahahhaa ila hakyanani Mtambuzi u are one of ur kind aseee!
sasa hiv ulifikiria nini kuanza kumpiga picha huyu dada pamoja na hilo tangazo lakini?
yani nawaza the moment uko busy unabadilisha gear huku unapiga picha kwa sababu kwa angle ya hizo picha ulikuwa unaendesha huku unafotoa!
KHAAA!
kuna watu huwa sipati picha mama zao walipataje shida wakati wa utoto wao!
KUDOS!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom