NAMI NIMELIONA TANGAZO LA ......Marahaba mwanangu, Je na wewe umeliona hilio Tangazo.......?
Ungejua wala usingesema hayo maneno, mimi nilikuwa nafanya udadisi wa hilo Tangazo la Chai Bora nikawa najaribu kulipiga picha kwa mbali halafu kwa karibu kidogo, halafu tena kwa karibu zaidi, sasa kosa langu liko wapi?ahahhahahhaa ila hakyanani Mtambuzi u are one of ur kind aseee!
sasa hiv ulifikiria nini kuanza kumpiga picha huyu dada pamoja na hilo tangazo lakini?
yani nawaza the moment uko busy unabadilisha gear huku unapiga picha kwa sababu kwa angle ya hizo picha ulikuwa unaendesha huku unafotoa!
KHAAA!
kuna watu huwa sipati picha mama zao walipataje shida wakati wa utoto wao!
KUDOS!
Ungejua wala usingesema hayo maneno, mimi nilikuwa nafanya udadisi wa hilo Tangazo la Chai Bora nikawa najaribu kulipiga picha kwa mbali halafu kwa karibu kidogo, halafu tena kwa karibu zaidi, sasa kosa langu liko wapi?
Usifuate tafsiri za wakuda wa humu JF wala mimi sikuwa na maana hiyo wanayofikiria au unayofikiria...
Naomba unitake radhi shemegi................ LOL
Kuna watu humu wananitafuta ubaya na nimeshawajua kwamba wanataka niwaachie radhi watembee makalio nje kwa kunikebehi, mimi ni mtambuzi na huwa nafanya tafiti zangu za kutambua vitu mbalimbali kwa kiingereza huitwa illusionMzee mwenzangu pole zako bhana, ndio uzuri wa kuishi vizuri na vijana wako, wanajiskia raha kukuchezea sharubu ati. Mshukuru MUNGU vijana wako wako upande wako japo kwa hapa naona wanakurudisha enzi zako zileeee za Kioo hahahahaaaaa hilo alilisema Mzee mwenzio MANI kuwa kuna kamtindo kakuwawekea mabinti vioo chini. Nikawa mkali nikamwambia NO No no Mzee mtambuzi hakua na maana hio bali alikua anatukumbusha kunywa chai Bora akisahau kuwa mimi ni Msababto japo sio Masalia
Huyo Mentor kuna kitu anakitafuta kwangu maana namuona tu na yeye kaingia kwnye kundi la wanangu kina King'asti na Asnam kunizodoa humu JF, subiri nitamuonyesha na hakuna rangi ataacha ona........Mentor ananiambia eti hilo tangazo linalotembea ni Photoshop, nikambishia nikamwambia hio ni original kabsaaaaa, Made in Tandale for Tandalese....
Mtambuzi kwanini vijana wako wengi wanamuona huyo Dada na sio Tangazo? Mimi nuiliona Tangazo na ndio nikamuona huyo dada. Hata hivyo huyo Dada mmmmhh si haba anafaa kwa kufungia mwaka huyu, kakaka kama kuku wa kienyeji, ajitafutia mwenyewe
hilo tangazo kwa nyuma ndo limetulia,liko poa sana,next time weka na video mkuu
C.H.A.I B.O.R.A-CENTER for HORNINESS AND INVESTIGATIONS BY OBSERVING REAL ASSES
mjomba uko sawasawa saluteAisee hii ni kali...!
HILI TANGAZO LEO KUTWA MZIMA NIKIZUNGUKAAAA NARUDIA KULIANGALIA YAANI THREAD YAKO IMEKUA MAHALI PA "KUSAFISHIA KIWI CHA MACHO" walah...........
wanawake tunaliona tangazo ila hakuna mwanaume rijali ataliona hilo tangazo wote wanaishia njianimarahaba mwanangu, je na wewe umeliona hilio tangazo.......?