Je, mke wangu ananibaka?

Je, mke wangu ananibaka?

sijui una akili za kuazima??/
badala ya kua mbunifu more n more unaleta ujinga
ngoja magwiji tushee na ww ndo utatia akili
 
Jaribu kusoma sheria au kuwauliza wanaojua sheria tafsiri na shuruti za kubaka. Unabaka wewe unasingizia unabakwa. Angalia mwanangu utakuja kubakwa kweli na hautaandika humu kuwa umefanyiwa hivyo. Je akikubaka unafaidi au kuudhika? Kama kweli umechoka kwanini usimuache? Je akitokea mwenzako akakusaidia utafurahi? Je wewe unadhani unaweza kumshitaki ukaacha kuonekana hamnazo na kituko? Ushawaambia wazazi wako? Ushauri wangu leo ni huo.
mimi ni kijana niliyeoa muda si mrefu na mke nampenmda kweli, ila siku za karibuni kuna katabia kamejengeka ka mke mke wangu kunilazimisha kufanya mapenzi hata kama sijisikii au wakati mwingine nikiwa nimechoka!a mekuwa akinilaghai na kulazimisha tufanye mapenzi bira ridhaa yangu! je naweza kumshtaki mamlaka za kisheria kuwa ananibaka au nivumilie haya manyanyaso? ushauri pliz
 
Pole kwakubakwa,mburula kama wewe unapigiwa sana ,tena huyo dada anakuzuga ili usimshtukie ,mwanaume gani wewe umeoa uweke mkeo maua,basi ungenunua mdoli uwe unamfanya unapotaka lol we ni mwanauyme waajabu sijjawahi ona
 
Au na wewe unafanywa ukifika home hamu ya mkeo hunaa?sema ukweli wewe ni gasho au sio gasho maana hizi ndio tabia zao wakishazoea huwa kama wanawake ukilazimisha anasema amebakwa.
 
Pole kwakubakwa,mburula kama wewe unapigiwa sana ,tena huyo dada anakuzuga ili usimshtukie ,mwanaume gani wewe umeoa uweke mkeo maua,basi ungenunua mdoli uwe unamfanya unapotaka lol we ni mwanauyme waajabu sijjawahi ona

Asanteeee mama!kwa kweli kaoa kabla ya muda wake huyu...anyway,he's just A BOY.
 
Mdau mimi nafikiri labda ungekaa nae chini kwanza mkalijadili hili kwa undani zaidi. Maana hujui kinacho msababishia hili la kutaka kufanya mapenzi na wewe kila wakati, kuna mambo mengi ya bialojia ambayo yanaweza kupelekea hili na majibu anayo yeye mwenyewe kazi ni kwako kuyapata na Kumbuka huyo ni mwenzako na mmeungana kimwili hivyo ni muhimu ukajua sababu, usiomuonee aibu muulize tuu. Natumai utauchukua ushauri huu kwa undani zaidi
 
Boxer, Laptop, bodaboda, simu za mkononi na vyakula mbambali kama karanga na mahindi ndo vinakuhenyesha. Wewe ni Serengeti Boy?
 
DNA zikija za uongo full kulalamika....!!!!

Ingekuwa mwenzio ndo anazingua full kulalamika...!!!

Watu wakikulia full kulalamika....!!!

Kazi ipo
 
Tukutuku umenena mwanaume Akiwa mood less haisimami ng'o, sasa mwenzetu Sijui wabakwaje yakhe
 
Mmh mi naona huyu in zuzu au hamfikishi mwenzie ndo mana anakuwa anataka lol wanao jua shughuli wakikusaidia utaisomaje namba. Pole wee
 
ulimuoa wa nini mtu huna uhitaji si kumtia majaribuni mwenzio huko. umejaribu kuongea nae kuhusu hilo?

Anachotakiwa jamaa ajiulize huyo mkewe amefuata nini kwake maana huko alikotoka kwa wazazi wake alikuwa ANAKULA, ANAVAA NA ANALALA sasa kwani ametoka kwao na kuja kwako
 
wewe eleza mapungufu yako tu! Watakusaidia wenzako kunyanyaswa! Wengine wakezetu akininyanyasa leo haninyanyasi tena hadi wiki 1! Daah napenda kunyanyaswa mimi kilasiku jamani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom