Je, mke wangu ananibaka?

Je, mke wangu ananibaka?

Uwiiiiiiiiiiiiiiiii aise we jamaa, wa wapi, yaani mi mke hana hamu, angekua wangu huyo uwiiii yaani huyo unatakiwa umshughulikie haswa tena ndo mmetoka funga ndoa juzij uzi acha uvivu kaka jitume ndo ndoa hiyo na si kulala pamoja huyo si dada yako ni mkeo... tena angalia asije jua unalalamika atakudharau saaaana.... Show her you are a man.....
 
Anatimiza wajibu wake kwa kazi aliyozoea, kwani ulikuta njia au barabara? kwani ulianza wewe? ngoja akutane na wale walio izoea njia uone kama atakulaghai tena. labda asiwe mjini.
 
nenda kamshtaki tu atakua hakusumbui tena nyege zikimpanda atakua anaenda kwa juma
 
huyu jamaa sred zake kila siku ndoa mpya,mara miaka miwili,mara miaka saba, wala si mkweli..
 
Yaani ungekuwa mwanangu/ mdogo wangu , unakuja kulalamika kwangu kwa kweli "NINGEKUTIA BAKORA WEYE MPK UTOE HAJA NDOGO" Yaani mwanaume ulie rijali, umekwenda jando ukafundishwa nn maana ya ndoa, unakuja hapa jamvini kujidhalilisha ? Mungu wangu weeeeeeeeeee! nasikia kulia, yaani umedhalilisha ukoo wako, na wazazi pamoja na ndugu. Itafika muda utakuja hapa ulalamika kuwa wanakumegea mkeo.shauri lako.
 
mimi ni kijana niliyeoa muda si mrefu na mke nampenmda kweli, ila siku za karibuni kuna katabia kamejengeka ka mke mke wangu kunilazimisha kufanya mapenzi hata kama sijisikii au wakati mwingine nikiwa nimechoka!a mekuwa akinilaghai na kulazimisha tufanye mapenzi bira ridhaa yangu! Je naweza kumshtaki mamlaka za kisheria kuwa ananibaka au nivumilie haya manyanyaso? Ushauri pliz

mh mwaego nenda kamsemee kwa mama yake, anakulazimisha kufanya matusi wakati wewe bado mtoto mdogo.

Napita
 
Nipe namba yake ya simu shughuli ushaishindwa hiyo
 
mimi ni kijana niliyeoa muda si mrefu na mke nampenmda kweli, ila siku za karibuni kuna katabia kamejengeka ka mke mke wangu kunilazimisha kufanya mapenzi hata kama sijisikii au wakati mwingine nikiwa nimechoka!a mekuwa akinilaghai na kulazimisha tufanye mapenzi bira ridhaa yangu! je naweza kumshtaki mamlaka za kisheria kuwa ananibaka au nivumilie haya manyanyaso? ushauri pliz
Fala wew
 
kuna watu wana topiki matapishi ila hii ni topiki uharo wa bata
 
Otherwise you have a problem somewhere, sio bure. Nenda kamuone daktar. Acha kutudhalilisha wanaume mashine
 
We jamaa mzembe sana aiseee... Ungekua karibu na mimi ningeshakutia makofi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom