Habari zenu wakuu. Nilikuwa nauliza kama mfanyakazi wa tanesco akiwa anaumwa mwezi mzima kiasi cha kushindwa kufanya kazi na huku akiwa na ruhusa ya ofisi, je mshahara wake utakuwepo pale pale au inakuaje?
Mkuu nenda kwa afisa utumishi wa tanesco wa eneo la kazi la huyo mfanyakazi akakusaidie kukujibu swali lako,hapa sidhani kama ni mahali sahihi kwa swali lako,utaambulia kejeli tu..
Mkuu nenda kwa afisa utumishi wa tanesco wa eneo la kazi la huyo mfanyakazi akakusaidie kukujibu swali lako,hapa sidhani kama ni mahali sahihi kwa swali lako,utaambulia kejeli tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.