Je, Marekani inaiangaliaje zanzibar na future yake kuelekea taifa huru??

Titans

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,459
3,366
Wana bodi salaam,

nachukua fursa hii kuleta hii habari nimesikia ubalozi wa marekani hapo Dar es salaam umetoa tamko kupitia balozi wake kuhusu vurugu za zanzibar na amekemea vikalia akitaka watu wakae kwenye mazungumzo,

My comment:

Hivi kutokana na vurugu za watu kuchoma makanisa huko zenji inawezekana Marekani ikawa inahusisha na mambo ya kigaidi na nadhani USA wana intelijensia kuhusu future ya zanzibar na uislam/udini,isije ikawa zenji target ya hawa waamerika baada ya Muungano kufa,Mungu nipe maisha marefu nione wazenji wakijuta na kusaga meno in the near future.
 
USA wanahofia kwamba kuna uwezekano mkubwa wa Al qaeda/Al shabab kujikita kwenye kile Kisiwa.Kwa taarifa yako hata ile serikali ya Umoja Zanzibar ina mkono wa Marekani...For Zanzibar...USA they will do everything to make sure Zenji hali ni shwari (ila kazi wanayo).Kumbuka Arusha yalitokea machafuko na mauwaji lakini ukusikia kauli ya ubalozi wa marekani!
 
Marekani haita angalia taifa linaloashiriwa kwa Mabomu na Magaidi, Marekani itajitoa Mapema na Zanzibar itakuwa kama Somalia.

Wewe Subiri CIA ifanye utafiti wake hao wote waliochoma Makanisa watawekwa kama Magaidi hawataweza kupanda ndege kwenda kokote labda Pemba
 
USA wanahofia kwamba kuna uwezekano mkubwa wa Al qaeda/Al shabab kujikita kwenye kile Kisiwa.Kwa taarifa yako hata ile serikali ya Umoja Zanzibar ina mkono wa Marekani...For Zanzibar...USA they will do everything to make sure Zenji hali ni shwari (ila kazi wanayo).Kumbuka Arusha yalitokea machafuko na mauwaji lakini ukusikia kauli ya ubalozi wa marekani!

Arusha, Wapinzani hawakurusha Mabomu kulipua Makanisa ni Dola kwahiyo ni tofauti kabisa na huko Zanzibar
 
Marekani haita angalia taifa linaloashiriwa kwa Mabomu na Magaidi, Marekani itajitoa Mapema na Zanzibar itakuwa kama Somalia.

Wewe Subiri CIA ifanye utafiti wake hao wote waliochoma Makanisa watawekwa kama Magaidi hawataweza kupanda ndege kwenda kokote labda Pemba

Najua Marekani imeweka her eyes on Zanzibar issue,they take it as Nigerian movements of Boko haram,unajua wanachokifanya sasa hivi hawa wazanzibari especially kuchoma makanisa to USA its total terrorism,i am happy that Zanzibar varnishes as ashes,nimeshawahi kushuhudia ubaguzi wa hawa watu huko zenji,nilipata kazi ya kulipwa hela nyingi tu na kampuni ya nje but station iwe zenji...i tell you guys Sheha ndiye aliyenifanya nikakosa ile kazi and i curse him.
 
Wana bodi salaam,

nachukua fursa hii kuleta hii habari nimesikia ubalozi wa marekani hapo Dar es salaam umetoa tamko kupitia balozi wake kuhusu vurugu za zanzibar na amekemea vikalia akitaka watu wakae kwenye mazungumzo,

My comment:

Hivi kutokana na vurugu za watu kuchoma makanisa huko zenji inawezekana Marekani ikawa inahusisha na mambo ya kigaidi na nadhani USA wana intelijensia kuhusu future ya zanzibar na uislam/udini,isije ikawa zenji target ya hawa waamerika baada ya Muungano kufa,Mungu nipe maisha marefu nione wazenji wakijuta na kusaga meno in the near future.

click hapa utajua inaingiaje!

makosa makubwa walionalo wanzanzibar ni mawili;

1) Zanzibar ni nchi imekaa vyema kama eneo la kijeshi (military strategic area)
2) zanzibar ina mafuta

hebu bofya hapa ujionee;

Israel Betrays America into War with Iran - YouTube
 
Wana bodi salaam,

nachukua fursa hii kuleta hii habari nimesikia ubalozi wa marekani hapo Dar es salaam umetoa tamko kupitia balozi wake kuhusu vurugu za zanzibar na amekemea vikalia akitaka watu wakae kwenye mazungumzo,

My comment:

Hivi kutokana na vurugu za watu kuchoma makanisa huko zenji inawezekana Marekani ikawa inahusisha na mambo ya kigaidi na nadhani USA wana intelijensia kuhusu future ya zanzibar na uislam/udini,isije ikawa zenji target ya hawa waamerika baada ya Muungano kufa,Mungu nipe maisha marefu nione wazenji wakijuta na kusaga meno in the near future.

Kinachotokea Zanzibar leo si UGAIDI ni uhalifu wa jinai. Wamarekani hawawezi kuiona Zanzibar ni kitovu cha ugaidi kama hakuna mipango inayofanywa kutokea Zanzibar kuwadhuru wamarekani. Ugaidi kwa wamarekani ni kitendo cha waislam kupanga kuwadhuru wamarekani.

Kama kuchoma kanisa ni ugaidi basi hata kuchoma msikiti ni ugaidi pia. Matukioa ya misikiti kushambuliwa marekani yapo mengi sana ila wao huyaita 'Hate crime'. Mtanzania yeyote anayesema kilichotokea Zanzibar ni ugaidi basi ni lazima atakuwa ni muathirika namba moja wa propaganda za magharibi kuhusu uislam na ugaidi. Kitendo cha wazanzibar kuchoma makanisa kinaqualify kabisa kuwa 'Hate Crime' na wahusika wafikishwe mahakamani kama wahalifu wengine.

Nimesikitishwa sana na Tamko la Julius Mtatiro kuhusisha vurugu za Zanziba na ugaidi. Halitendei Taifa haki wala Zanzibar haitendei haki. Athari za tamko kama la Mtatiro ni kubwa zaidi kiuchumi hasa kwenye sekta ya utalii Zanzibar kuliko kushughulikia tatizo, la kuitenga CUF na vurugu hizo. Mtatiro hakutakiwa kuhususha ugaidi na vurugu za Zanzibar. Tukianza kuhusisha matukio kama ya Zanzibar na ugaidi tutakuwa tunajenga precedence mbaya sana na hasa kuhusu uislam. Juzijuzi kuna kanisa pale Nyerere Road waumini wake walifanya fujo kubwa na kulazimisha polisi kutumia risasi za moto je ule nao tuuitaje?.
 
Kinachotokea Zanzibar leo si UGAIDI ni uhalifu wa jinai. Wamarekani hawawezi kuiona Zanzibar ni kitovu cha ugaidi kama hakuna mipango inayofanywa kutokea Zanzibar kuwadhuru wamarekani. Ugaidi kwa wamarekani ni kitendo cha waislam kupanga kuwadhuru wamarekani.

Kama kuchoma kanisa ni ugaidi basi hata kuchoma msikiti ni ugaidi pia. Matukioa ya misikiti kushambuliwa marekani yapo mengi sana ila wao huyaita 'Hate crime'. Mtanzania yeyote anayesema kilichotokea Zanzibar ni ugaidi basi ni lazima atakuwa ni muathirika namba moja wa propaganda za magharibi kuhusu uislam na ugaidi. Kitendo cha wazanzibar kuchoma makanisa kinaqualify kabisa kuwa 'Hate Crime' na wahusika wafikishwe mahakamani kama wahalifu wengine.

Nimesikitishwa sana na Tamko la Julius Mtatiro kuhusisha vurugu za Zanziba na ugaidi. Halitendei Taifa haki wala Zanzibar haitendei haki. Athari za tamko kama la Mtatiro ni kubwa zaidi kiuchumi hasa kwenye sekta ya utalii Zanzibar kuliko kushughulikia tatizo, la kuitenga CUF na vurugu hizo. Mtatiro hakutakiwa kuhususha ugaidi na vurugu za Zanzibar. Tukianza kuhusisha matukio kama ya Zanzibar na ugaidi tutakuwa tunajenga precedence mbaya sana na hasa kuhusu uislam. Juzijuzi kuna kanisa pale Nyerere Road waumini wake walifanya fujo kubwa na kulazimisha polisi kutumia risasi za moto je ule nao tuuitaje?.

Zenji people dont know what they want,to my view all what happens in Zanzibar is terrorism,mind you terrorism haina udini,any one can be a terror,but according to the western world terrorism is reflected most in islamic movements and they can take the justification of what happens in zanzibar that watu wanachoma makanisa (the worst thing ever done in this crisis),why MAKANISA???mbona misikiti imebaki salama??Zanzibar itajiweka katika ramani tofauti kabisa na ilivokua na nina nakika utalii utapungua sana kz wazungu wanalishana sana woga when it comes kwa makanisa kuchomwa,

Terrorism
The unlawful use or threatened use of force or violence by a person or an organized group against people or property with the intention of intimidating or coercing societies or governments, often for ideological or political reasons.
 
Back
Top Bottom