Titans
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 1,459
- 3,366
Wana bodi salaam,
nachukua fursa hii kuleta hii habari nimesikia ubalozi wa marekani hapo Dar es salaam umetoa tamko kupitia balozi wake kuhusu vurugu za zanzibar na amekemea vikalia akitaka watu wakae kwenye mazungumzo,
My comment:
Hivi kutokana na vurugu za watu kuchoma makanisa huko zenji inawezekana Marekani ikawa inahusisha na mambo ya kigaidi na nadhani USA wana intelijensia kuhusu future ya zanzibar na uislam/udini,isije ikawa zenji target ya hawa waamerika baada ya Muungano kufa,Mungu nipe maisha marefu nione wazenji wakijuta na kusaga meno in the near future.
nachukua fursa hii kuleta hii habari nimesikia ubalozi wa marekani hapo Dar es salaam umetoa tamko kupitia balozi wake kuhusu vurugu za zanzibar na amekemea vikalia akitaka watu wakae kwenye mazungumzo,
My comment:
Hivi kutokana na vurugu za watu kuchoma makanisa huko zenji inawezekana Marekani ikawa inahusisha na mambo ya kigaidi na nadhani USA wana intelijensia kuhusu future ya zanzibar na uislam/udini,isije ikawa zenji target ya hawa waamerika baada ya Muungano kufa,Mungu nipe maisha marefu nione wazenji wakijuta na kusaga meno in the near future.