Je, Marekani huwa wanafanya zoezi la sensa?

Je, Marekani huwa wanafanya zoezi la sensa?

kuritovu

Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
60
Reaction score
24
Habarini wakuu,

Kama title inavyojieleza. Je, ni kweli hata first world countries kama America, Russia na hata mataifa mengine huwa kunakuwa na sensa ya watu na makazi au ni hii miyeyusho ya hapa bongo pekee yake?

Kwa mtazamo wangu naona hili swala la sensa ni upotevu/ufujaji wa fedha za wananchi ambazo zingeweza kitumika kujenga zahanati, kumalizia miradi ya maji ambayo ni uhai kwa wananchi nk. Hivyo basi sioni manufaa ya zoezi la sensa.

Pia nakosoa teknologia inayotumika ni kizamani mnoo. Je, hivi ata first world countries kunakuga sensa na kama zipo mbona sijawahi zisikia kabsa au ninyi wanajamii mnasemaje??

"Naomba kuwasilisha", Tuweke siasa kando, unajua uchumi umeyumba.
 
Npo marekani toka kitambo sana .......sensa kila nchi ipo ....thats y huko tz kwenu mlifundishwa kwenye somo la geography ( kama hukukimbia umande) ......

Sensa ni kwa mujibu wa sheria .....pia hata UN huzihitaji hizo data ili kujua world population
 
Elimu yako Mkuu?

Kwa haraka zipo njia kadhaa za kukusanya taarifa za idadi ya watu(population Data) Kama vile;

1. The Census ·
2. Vital Statistics ·
3. Demographic Sample Surveys
4. Population Registers

Kwa nchi Masikini na zenye tekonolojia Duni Sensa ndio njia sahihi zaidi.
 
Elimu yako Mkuu?

Kwa haraka zipo njia kadhaa za kukusanya taarifa za idadi ya watu(population Data) Kama vile;

1. The Census ·
2. Vital Statistics ·
3. Demographic Sample Surveys
4. Population Registers

Kwa nchi Masikini na zenye tekonolojia Duni Sensa ndio njia sahihi zaidi.
Usijekuta mtoa post ni degree holder[emoji23][emoji23]
 
Hizo zahanati utajuaje zinahitajika sehemu Fulani!?
Are sure hizi huduma zinafuata population data au political reasons? Nimeona hospitals Kubwa sana zibajengwa maeneo yenye population ndogo, nimeona mapendekezo ya kuunda mikoa mipya kwenye maeneo yenye population ndogo kuliko high density regions, uwanja mkubwa wa ndege unajengwa eneo lenye population ndogi.. .. Mifano ni mingi sana.. Siasa kwenye nchi hii imeharibu so many developments plans..
 
Are sure hizi huduma zinafuata population data au political reasons? Nimeona hospitals Kubwa sana zibajengwa maeneo yenye population ndogo, nimeona mapendekezo ya kuunda mikoa mipya kwenye maeneo yenye population ndogo kuliko high density regions, uwanja mkubwa wa ndege unajengwa eneo lenye population ndogi.. .. Mifano ni mingi sana.. Siasa kwenye nchi hii imeharibu so many developments plans..
Una takwimu za hayo maeneo yenye population ndogo!?..au ndiyo mentality ya kupinga kila kitu,yaani kila kitu Cha serikali sharti upinge
 
Habarini wakuu..
Kama title inavyojieleza JE ni kweli hata first world country kama America, Russia na hata mataifa mengine kunakuga na sensa ya watu na makazi au ni hii miyeyusho ya hapa bongo pekee yake.

Kwa mtazamo wangu naona hili swala la sensa ni upotevu/ufujaji wa fedha za wananchi ambazo zingeweza kitumika kujenga mizahanati,kumalizia miradi ya maji ambayo ni uhai kwa wananchi..hivyo basi sio manufaa ya zoezi la sensa.


Pia nakosoa teknologia inayotumika ni kizamani mnoo..

Je hivi ata first world countries kunakuga sensa na kama zipo mbona sijawahi zisikia kabsa au ninyi wanajamii mnasemaje??

"Naomba kuwasilisha"
Tueke siasa kando unajia uchumi umeyumba..
Sensa zipo kila sehemu let say kwa Tanzania kuna sehemu serikali haijui kabisa kama kuna makazi ya watu lakini kupitia sensa watajua makazi ya watu na watawapelekea huduma muhimu kama vile hsp shule miundombinu kwaiyo hii sensaya watu na makazi ni muhimu sana
 
Sensa zipo kila sehemu let say kwa Tanzania kuna sehemu serikali haijui kabisa kama kuna makazi ya watu lakini kupitia sensa watajua makazi ya watu na watawapelekea huduma muhimu kama vile hsp shule miundombinu kwaiyo hii sensaya watu na makazi ni muhimu sana
Nchi zilizoendelea hawahitaji kufanya sensa. Mifumo Yao ipo vizuri kwani Kila tukio muhimu hurekodiwa na kutunzwa kwenye banki ya takwimu... Matukio hayo ni kama uzao, vifo, uhamiaji, ajira, makazi, nk. Sensa ni kwa mataifa ambayo mifumo hiyo ni duni.
 
Sensa zipo kila sehemu let say kwa Tanzania kuna sehemu serikali haijui kabisa kama kuna makazi ya watu lakini kupitia sensa watajua makazi ya watu na watawapelekea huduma muhimu kama vile hsp shule miundombinu kwaiyo hii sensaya watu na makazi ni muhimu sana
Tena Saaaaaaaaanaaaaaaa
 
Maswali ya wana JF wengine yanaitia aibu JF.

Pesa zenyewe za sensa mmepewa msaada unasema wanafuja pesa za wananchi, pesa gani?

Ushasema USA ni first world country, unataka njia za US zitumike kuhesabia watu bongo? Ni ujinga kufananisha US na TZ, mazingira, teknolojia na literacy level ni tofauti kabisa baina ya hizi nchi mbili.
 
Wewe muhuni tu huna lolote.
Marekani hawezi kuandaa makarani wa sensa kanwe.
Sensa kwao ni kila siku maka ifuatavyo:
1. Hospitali mtoto akizaliwa anaingizwa kwenye data base
2. Hospital raia akifariki anaondolewa kwenye data base.
3. Mhamiajia akipewa uraia anaingizwa kwenye data base.
4. Raia akiingia au kutoka anaonekana kwenye data base.
Haitakaa itokee makarani wazunguke mtaani.
Danyanya mafala wenzako hapo kijiwe cha kahawa mkinywa alkasusu feki

Ona hii kenge nayo inasema US hamna sensa 🤣. Huwa mnatoa wapi hizi story nyie mitanganyika? Kuzunguka mitaani ni swala la kimazingira tu ila sensa US na nchi zingine ipo. Watu tumefanya census US 2020 tu. Jisomee hapo chini na fuata hiiyo link:

The 2020 Census counted every person living in the United States and the five U.S. territories. It marked the 24th census in U.S. history and the first time that households were invited to respond to the census online.

 
Ona hii kenge nayo inasema US hamna sensa 🤣. Huwa mnatoa wapi hizi story nyie mitanganyika? Kuzunguka mitaani ni swala la kimazingira tu ila sensa US na nchi zingine ipo. Watu tumefanya census US 2020 tu. Jisomee hapo chini na fuata hiiyo link:

The 2020 Census counted every person living in the United States and the five U.S. territories. It marked the 24th census in U.S. history and the first time that households were invited to respond to the census online.

Kenge babako kei wewe
 
Npo marekani toka kitambo sana .......sensa kila nchi ipo ....thats y huko tz kwenu mlifundishwa kwenye somo la geography ( kama hukukimbia umande) ......

Sensa ni kwa mujibu wa sheria .....pia hata UN huzihitaji hizo data ili kujua world population
Oky
 
Are sure hizi huduma zinafuata population data au political reasons? Nimeona hospitals Kubwa sana zibajengwa maeneo yenye population ndogo, nimeona mapendekezo ya kuunda mikoa mipya kwenye maeneo yenye population ndogo kuliko high density regions, uwanja mkubwa wa ndege unajengwa eneo lenye population ndogi.. .. Mifano ni mingi sana.. Siasa kwenye nchi hii imeharibu so many developments plans..
Exactly
 
Back
Top Bottom