kuritovu
Member
- Dec 29, 2021
- 60
- 24
Habarini wakuu,
Kama title inavyojieleza. Je, ni kweli hata first world countries kama America, Russia na hata mataifa mengine huwa kunakuwa na sensa ya watu na makazi au ni hii miyeyusho ya hapa bongo pekee yake?
Kwa mtazamo wangu naona hili swala la sensa ni upotevu/ufujaji wa fedha za wananchi ambazo zingeweza kitumika kujenga zahanati, kumalizia miradi ya maji ambayo ni uhai kwa wananchi nk. Hivyo basi sioni manufaa ya zoezi la sensa.
Pia nakosoa teknologia inayotumika ni kizamani mnoo. Je, hivi ata first world countries kunakuga sensa na kama zipo mbona sijawahi zisikia kabsa au ninyi wanajamii mnasemaje??
"Naomba kuwasilisha", Tuweke siasa kando, unajua uchumi umeyumba.
Kama title inavyojieleza. Je, ni kweli hata first world countries kama America, Russia na hata mataifa mengine huwa kunakuwa na sensa ya watu na makazi au ni hii miyeyusho ya hapa bongo pekee yake?
Kwa mtazamo wangu naona hili swala la sensa ni upotevu/ufujaji wa fedha za wananchi ambazo zingeweza kitumika kujenga zahanati, kumalizia miradi ya maji ambayo ni uhai kwa wananchi nk. Hivyo basi sioni manufaa ya zoezi la sensa.
Pia nakosoa teknologia inayotumika ni kizamani mnoo. Je, hivi ata first world countries kunakuga sensa na kama zipo mbona sijawahi zisikia kabsa au ninyi wanajamii mnasemaje??
"Naomba kuwasilisha", Tuweke siasa kando, unajua uchumi umeyumba.