Je mapenzi yana formula????

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Nimekuwa nikijiuliza mambo haya kwa muda mrefu sasa,utakuta dada wa watu ana hela akaolewa na kijana hohehahe wanakaa kwa muda kidogo wanaachana,mwingine mwanaume ana hela pia ni handsome lakini mwanamke anamuacha anaenda kuolewa na jamaa kapuku mbaya,hii maana yake nini????
 

Ferds

JF-Expert Member
Oct 27, 2010
1,264
191
Nimekuwa nikijiuliza mambo haya kwa muda mrefu sasa,utakuta dada wa watu ana hela akaolewa na kijana hohehahe wanakaa kwa muda kidogo wanaachana,mwingine mwanaume ana hela pia ni handsome lakini mwanamke anamuacha anaenda kuolewa na jamaa kapuku mbaya,hii maana yake nini????


Kila ndege hutua mti aupendao . personal attribute hazikufanyi wewe upendwe na mme/mke
 

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,226
Nimekuwa nikijiuliza mambo haya kwa muda mrefu sasa,utakuta dada wa watu ana hela akaolewa na kijana hohehahe wanakaa kwa muda kidogo wanaachana,mwingine mwanaume ana hela pia ni handsome lakini mwanamke anamuacha anaenda kuolewa na jamaa kapuku mbaya,hii maana yake nini????

Mapenzi sio vitu ni roho ikipenda wewe huoni wake za wakubwa wanachukua mahouseboy wao. Kisa ni kwamba hao wako busy na kutafuta mkwanja na wanajua kuwa hata wakifanya nini wake zao hawawezi kuondoka kisa wako na pesa.
 

Joy1981

Member
Nov 12, 2010
26
1
no formula at all ila vitus na maelewano ndo huashiria kudumu kwa mahusiano. pia mapenzi ya siku hizi ni easy come easy go..
 

Julz

Senior Member
Nov 10, 2010
107
18
Nimekuwa nikijiuliza mambo haya kwa muda mrefu sasa,utakuta dada wa watu ana hela akaolewa na kijana hohehahe wanakaa kwa muda kidogo wanaachana,mwingine mwanaume ana hela pia ni handsome lakini mwanamke anamuacha anaenda kuolewa na jamaa kapuku mbaya,hii maana yake nini????

Mbona naona kama umeshajibu swali lako???mapenzi hayana formula ndo maana hayaeleweki....ila kuna formula ya kufanya ili uwe unapendwa!!
 

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,598
1,678
  • I don't know who you are, but whatever it is, I'm sure everyone will agree with me.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Top Bottom