Nimekuwa nikijiuliza mambo haya kwa muda mrefu sasa,utakuta dada wa watu ana hela akaolewa na kijana hohehahe wanakaa kwa muda kidogo wanaachana,mwingine mwanaume ana hela pia ni handsome lakini mwanamke anamuacha anaenda kuolewa na jamaa kapuku mbaya,hii maana yake nini????