Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Wakati Raisi wa Urusi W. Putini alivyokutana na Waandishi wa Habari pamoja na mengi aliyoyaongea hasa kuhusu uhusiano wa nchi yake na USA, aliulizwa swali ambalo muulizaji alimnukuu Mwanasiasa wa USA John Mccain aliyesema kwamba Raisi Putini ataishia kama Gadafi yaani atapinduliwa na kuuliwa kama vile mpinga Kristo Obama alivyomfanyia Gadafi!
Raisi Putini pmj na jibu refu alilotoa khs hili mwishoni alisema hivi hivi Mccain ni war veteran wa Vietnamu na alivyokuwa huko Vietnam alikamatwa kama mateka na kuwekwa kwenye shimo kwa muda mrefu mpaka alivyokuja kuokolewa na alivyookelewa, akasafirishwa moja kwa moja kurudi kwao USA sasa Putini anasema Mccain aliacha akili zake kwenye lile shimo!
Hiyo sentensi ya mwisho ndiyo iliyonivutia sana ya ,,kuacha akili zake kwenye shimo", nikajaribu kuioanisha na Afrika yetu na jinsi tulivyo, Je inawezekana Wazungu waliondoka na akili zetu miaka ya 60' ? Kwa maana hatujielewi!
Hatuwezi kufikiria wenyewe kila tunachokifanya leo hii ni kile kile Wazungu walichotuachia ingawaje wao wenyewe walisha move on na hawafanyi tena kuanzia kuchapa watoto Shuleni mpaka ukipata ajali PF3 kwanza ndiyo utibiwe, ukija kwenye Elimu ndiyo usiseme, lijitabu la Abbot la Fizikia ndiyo hilo hilo tangu Ukoloni!
Raisi Putini pmj na jibu refu alilotoa khs hili mwishoni alisema hivi hivi Mccain ni war veteran wa Vietnamu na alivyokuwa huko Vietnam alikamatwa kama mateka na kuwekwa kwenye shimo kwa muda mrefu mpaka alivyokuja kuokolewa na alivyookelewa, akasafirishwa moja kwa moja kurudi kwao USA sasa Putini anasema Mccain aliacha akili zake kwenye lile shimo!
Hiyo sentensi ya mwisho ndiyo iliyonivutia sana ya ,,kuacha akili zake kwenye shimo", nikajaribu kuioanisha na Afrika yetu na jinsi tulivyo, Je inawezekana Wazungu waliondoka na akili zetu miaka ya 60' ? Kwa maana hatujielewi!
Hatuwezi kufikiria wenyewe kila tunachokifanya leo hii ni kile kile Wazungu walichotuachia ingawaje wao wenyewe walisha move on na hawafanyi tena kuanzia kuchapa watoto Shuleni mpaka ukipata ajali PF3 kwanza ndiyo utibiwe, ukija kwenye Elimu ndiyo usiseme, lijitabu la Abbot la Fizikia ndiyo hilo hilo tangu Ukoloni!