Salaam!
Nimepenyezewa taarifa tokea Dodoma kuwa,
Wapo baadhi ya wanakijiji yanapopita marori yaliyobeba makaa ya mawe, wananchi Hawa hukaa Pembeni mwa barabara na kusubiri baadhi ya makaa ya mawe yadondokke kutoka Katika haya malori ya kubebea makaa ya mawe na kwenda kuyatumia makaa haya kupikia Katika majiko ya mkaa ya kawaida na wanadai makaa haya ni Bora sana, unapikia hayaishi.
Swali no 1:
Je ni kweli makaa ya mawe yafaa kwa matumizi ya majumbani?
Swali no 2.
Yepi ni madhara ya kiafya kutumia makaa ya mawe kupikia kwa matumizi ya majumbani?
Swali No 3.
Upi uhusiano wa rostam kumiiliki mgodi wa makaa ya mawe akiyapeleka nje hapo hapo akiingiza gesi kuwauzia watanzania?
Nimepenyezewa taarifa tokea Dodoma kuwa,
Wapo baadhi ya wanakijiji yanapopita marori yaliyobeba makaa ya mawe, wananchi Hawa hukaa Pembeni mwa barabara na kusubiri baadhi ya makaa ya mawe yadondokke kutoka Katika haya malori ya kubebea makaa ya mawe na kwenda kuyatumia makaa haya kupikia Katika majiko ya mkaa ya kawaida na wanadai makaa haya ni Bora sana, unapikia hayaishi.
Swali no 1:
Je ni kweli makaa ya mawe yafaa kwa matumizi ya majumbani?
Swali no 2.
Yepi ni madhara ya kiafya kutumia makaa ya mawe kupikia kwa matumizi ya majumbani?
Swali No 3.
Upi uhusiano wa rostam kumiiliki mgodi wa makaa ya mawe akiyapeleka nje hapo hapo akiingiza gesi kuwauzia watanzania?