Je, mahali panapoitwa Ngende ni pakusadikika?

Je, mahali panapoitwa Ngende ni pakusadikika?

Sehemu hiyo ipo kweli inapatikana wilaya ya Liwale nkoa wa Lindi katikati ya msitu wa Selous,moja ya wataalam wahudumu katika kilinge hicho ni ukoo niliozaliwa Mimi so mababu zangu walihudumia Ngende miaka mingi tu,ila kwa sasa kilinge kimepungua nguvu,pale unapewa utajiri kwa sharti la kurudisha shukrani ukijifanya kusahau unatumiwa mnyama yoyote yule anakuja kukudhuru,pale ngende ukienda unapokelewa na nyani na wanyama wengine nao wanazungumza karibia lugha zote duniani

Karibu Ngende kwa Wamagingo au Wangindo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni utajiri tu? Mapenzi je? Kuna danga nataka niliteke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehemu hiyo ipo kweli inapatikana wilaya ya Liwale nkoa wa Lindi katikati ya msitu wa Selous,moja ya wataalam wahudumu katika kilinge hicho ni ukoo niliozaliwa Mimi so mababu zangu walihudumia Ngende miaka mingi tu,ila kwa sasa kilinge kimepungua nguvu,pale unapewa utajiri kwa sharti la kurudisha shukrani ukijifanya kusahau unatumiwa mnyama yoyote yule anakuja kukudhuru,pale ngende ukienda unapokelewa na nyani na wanyama wengine nao wanazungumza karibia lugha zote duniani

Karibu Ngende kwa Wamagingo au Wangindo

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi una pesa mkuu hongera
 
Ndio, hiyo sehemu ipo, na ipo ktk Kijiji kiitwacho Mkwera ktk Mkoa wa Lindi ni mpakani mwa Mtwara na Lindi, kwa wale wanaoifahamu Nyangao basi ukitoka hapo unapta vjj km viwili au kimoja. NA HAYO MAMBO YAPO SANA TANGIA MIAKA MINGI, NA UKIKIUKA MASHARTI USISHANGAE WW MWENYEWENA EITHER FAMILY AKO MKAPOTEZA MAISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpakani mwa Mtwara na Lindi?!!!!! Si kweli
 
MpigaMiti kwa Bibi,
Ngende Liwale
Tanzania

Twende pamoja mguu kwa mguu katika safari ya kuelekea Ngende



Safari ya Ngende ambayo inafanyika kwa mwaka mara mbili na safari hiyo ya kwenda ngende huwa watu wanatembea kwa miguu kuanzia kijiji cha Ndapata wilayani Liwale kuelekea ilonga mkoani Morogoro wanapita kwenye hifadhi ya Nyerere wakisindikizwa na askari wa hifadhi kutokana na uwepo wanyama kwenye hifadhi hiyo.
1676143873950.png


Miongoni mwa taratibu za kwenda Ngende unatakiwa ujiandikishe kabla ya safari na hupangwa tarehe maalumu ya safari kabla ya kuanza safari kunakusanyika eneo maalum na munapewa maelekezo juu ya safari hiyo.
1676143810389.png
 
Ndio, hiyo sehemu ipo, na ipo ktk Kijiji kiitwacho Mkwera ktk Mkoa wa Lindi ni mpakani mwa Mtwara na Lindi, kwa wale wanaoifahamu Nyangao basi ukitoka hapo unapta vjj km viwili au kimoja. NA HAYO MAMBO YAPO SANA TANGIA MIAKA MINGI, NA UKIKIUKA MASHARTI USISHANGAE WW MWENYEWENA EITHER FAMILY AKO MKAPOTEZA MAISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin hapo sio ngende mkuu mtama, nyangao, mkwera nazijua ni road tu, ngende ni sehemu nyingine Liwale huko
 
Back
Top Bottom