kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,054
Hello bosses...
Mada za kikubwa watoto wakiwa wamelala
Kuna mzigo unaiitwa magic mushrooms au tuziite shrooms, zinatumiwa kwa mambo ya kiroho na kujiliwaza pia. Ni kama weed kwa baadhi ya watu.
Kwa wale wanaofanya deep meditation pia baadhi wanazitumia kufanya tripping(huko unaweza kutana na wewe mwenyewe, au ukaona vitu fln vya kushangaza ulivopitia anyway sio story ya leo hii).
Je hapa Tanzania zinaruhusiwa? Na zinapatikana wapi kama zinaruhusiwa?
Mada za kikubwa watoto wakiwa wamelala
Kuna mzigo unaiitwa magic mushrooms au tuziite shrooms, zinatumiwa kwa mambo ya kiroho na kujiliwaza pia. Ni kama weed kwa baadhi ya watu.
Kwa wale wanaofanya deep meditation pia baadhi wanazitumia kufanya tripping(huko unaweza kutana na wewe mwenyewe, au ukaona vitu fln vya kushangaza ulivopitia anyway sio story ya leo hii).
Je hapa Tanzania zinaruhusiwa? Na zinapatikana wapi kama zinaruhusiwa?