Mimi nadhani kuna haja ya kuja na mpango wa kushughulika na immediate families za hawa wanaojifanya hamnazo na kumwaga damu za Watanzania wasiokuwa na hatia. Inabidi familia zao nazo zipate experience ya maisha ya hell wanayopitia watu wa familia zingine!
Tanzania ni nchi ya ajabu kweli kweli kweli. Huyu mtu katajwa siku nyingi lakini huwezi kukuta sehemu ambayo mtu/watu wamefanya juhudi kujua maisha yake kwa undani. Tumekosa umakini na udadishi kweli kweli.
Usiwazingatie kabisa watanzania. Huyo Mafwele tangu wameanza kumuimba yaani yupo tu mitaani anadunda hana noma na ana familia kabisa!?
Wanajua wanamsingizia ndiyo maana hawafanyi lolote, na yeye wala hana wasiwasi na Kanisani anaenda tena huingia mapema na kutoka mwishoni.
Tanzania ni nchi ya ajabu kweli kweli kweli. Huyu mtu katajwa siku nyingi lakini huwezi kukuta sehemu ambayo mtu/watu wamefanya juhudi kujua maisha yake kwa undani. Tumekosa umakini na udadishi kweli kweli.