Naomba tujadiliane juu ya haya mafunzo dada zetu wanayopewa siku kadhaa kabla ya ndoa, hususani huku mijini.
Je mafunzo hayo yanayotolewa kwa masaa kadhaa yanakidhi changamoto za ndoa? Kama kuna mama au dada au mtu yeyote yule aliyefanikiwa kupata mafunzo haya au mwenye uelewa hususani maeneo ya mijini naomba atujuze faida zake, na nini kifanyike ili yawe chachu ya kuimarisha ndoa.
MTAZAMO WANGU: mafunzo hayo (yanayotolewa mijini) yapo chini ya kiwango kwa kuwa yanatolewa kibiashara, yafafuati maadili ya Kitasnzania, mchango wake hauonekani n.k. Naomba kuwakilisha
Je mafunzo hayo yanayotolewa kwa masaa kadhaa yanakidhi changamoto za ndoa? Kama kuna mama au dada au mtu yeyote yule aliyefanikiwa kupata mafunzo haya au mwenye uelewa hususani maeneo ya mijini naomba atujuze faida zake, na nini kifanyike ili yawe chachu ya kuimarisha ndoa.
MTAZAMO WANGU: mafunzo hayo (yanayotolewa mijini) yapo chini ya kiwango kwa kuwa yanatolewa kibiashara, yafafuati maadili ya Kitasnzania, mchango wake hauonekani n.k. Naomba kuwakilisha