Lissu yupo nje ya Tanzania ila karibu kabisa na Tanzania na ana ulinzi husika wa nchi aliyopo. Sasa mtu alete ujinga kama hajachapwa mchana kweupe.
Umeona njia ya kujipatia bundle ndio hii!
Nenda kamchukue jinga wewe. Yani serikali yenu ni nyeupeeee! Ningekuwa siifahamu ningeona umeongea kitu but kwakuwa naifahamu nje ndani!
Kisiasa ameshindwa kweli maana kachakazwa hasa kiasi kwamba hata si Mbunge tena, Ila ki afya yeye ni mshindi. Sasa ww ulikuwa unashindana nae kisiasa au kwa afya yake? Maana wafuasi wake naona wanampongeza kwa kuishinda mauti na wewe unamshambulia kwa kushindwa kisiasa. Tuchukue nafasi hii kumpongeza kwa kupigania uhai wake na kwa uweza wa MUNGU bado yupo imara.
Kumjibu mtu kama UCD ni kupoteza muda, akili zake hazina tofauti na za bashite.Masikini hata kusoma hujui, maana kilicjoandikwa na ulicho kuchangia ni ardhi na mbingu
Sent using Jamii Forums mobile app
eeh yuko nyumbani kwa Lema
Mbinu zenu za kishetani zimegonga mwamba kwa kutaka kuondoa uhai wa TunduSiku zake zikifika ataondoka tu kama wewe utavyoondoka!
LISSU HAJI LEO WALA KESHO. ANAJUA KESI INAMSUBIRI KUHUSU KUSHAMBULIWA KWAKE. JE DEREVA WAKE NAYE KAJA? AU ANADHANI KUKOSEKANA KWA DEREVA WAKE NDIO HATASHTAKIWA? ILA WAKIWEPO WOTE WAWILI KESI NDIO ITANOGA NA ITACHUKUA MUDA MFUPI KUMALIZIKA.
Huna hoja wewe!Kumjibu mtu kama UCD ni kupoteza muda, akili zake hazina tofauti na za bashite.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumjibu mtu kama UCD ni kupoteza muda, akili zake hazina tofauti na za bashite.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh at ana ulinzi imara nchi jirani, yeye aje tu hatuna haja naye wala hana athari yoyote, kama mnadhani ni turufu basi ni garasa MTz hadanganyiki, kipindi ambacho mtashangazwa mpaka mbaki midomo wazi ni 2020, niliwapa ushauri wa bure wapinzani wote pendekezeni tu kusiwepo uchaguzi hiyo fedha iongeze upatikanaji wa maji vijijini. kwa ninyi kushinda ndoto mkipata hata majimbo 5 mje niwape zawadi.
Sijatoa hoja, huo ni ushauri kwa mdau, umedhibitisha hilo kwa kusema sina hoja wakati mimi nimemshauri aku ignore tu.Huna hoja wewe!
Utakufa na stress mkuu kunywa maji. Wewe ulitaka lazima tupate hizo $190B tu. Kwa taarifa yako benefit tulizopata kwa sasa hivi ni zaidi ya hiyo $190B ila kwa kuwa akili yako ni fupi kama ulivyo mfupi ndiyo maana huwezi elewa na huyo msaliti mwenzio Lissu. Si mlisema tutashitakiwa na hizo Miga zenu! Sasa hamna tena hoja zaidi ya propaganda zenu tu. Ngoja tusubiri uchaguzi October 2020 tuifute kabisa hii Saccos na Mwenyekiti wenu wa kudumu ameshajua kuwa saccos ina kwenda kufutika TZ ndiyo maana akakimbia haraka haraka kwenda Mwanza kwenye Sherehe za Uhuru kwenda kuomba maridhiano kwa kuwa anaona mbeleni ruzuku ina kwenda kupotea! HAPA KAZI TU!Yaani wewe ni mpumbavu (sio mjinga) sijapata kuona. Mumefanikiwa nini? Accasia kawalipa hizo $190B? Au unahorojoka tuu kama punguani?
Nyie ni kizazi gani ambao mnaimbishwa upunguani na kuuamini kama mazuzu vile? Au mmezaliwa na mtindio wa ubongo?
Mnakasirisha sana hasa kwa kuona inakuwaje binadamu na utashi wenu mko kama ng'ombe kwa akili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Rais wa Saccos inayokufa October 2020!Hakuna mpinzani mwenye muda mchafu wa kusikiliza muimba taarabu wa lumumba kama wewe.
Cha msingi elewa kuwa Lissu ndiyo kapona tayari na ndiye rais wako ajae View attachment 1327598
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni jiwe?Ina maana amekuja kimya kimya? Vipi yale maandalizi ya mapokezi hapo Ufipa? Kweli Jiwe kiboko hadi 'shujaa' anarudi kwa kunyatianyatia!!!??
Kama kweli hapo ni Tanzania na Lissu amerudi japo kimya kimya, ama kweli huyu atakuwa ni shujaa wa ukweli hata Nelson Mandela atasubiri!.Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm.
Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habariView attachment 1327501View attachment 1327502
Sent using Jamii Forums mobile app