Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,690
- 218,196
Huyu kijana nimedhamiria kumpa gari .Kibatala pekeyake ni sawa na wanasheria wote wa CCM
Huyu kijana nimedhamiria kumpa gari .Kibatala pekeyake ni sawa na wanasheria wote wa CCM
Siyo JPM tu hata Mimi natamani Vyama vya kibabaishaji vyote vifutweeeeee!
Ingawa siyo kweli Lissu Na Kibatala ndo wansheria bora kuliko wote Tz, inawezekana huwafahamu wanasheria. Anyway my concern Ni kuhusu huo Ushauri wako, aisee Ni umeenda shule, yaani mambo yangenyooka Sana National Prosecution Service Na bifu za kisiasa zingepunguaNi wakati sasa wa Mh. Rais kuangalia Upya Teuzi zake, Lissu na Kibatala kwa sasa ndio Wanasheria Bora Kabisa Tanzania, na Pengine East Africa. Namshauri Mkuu awape tu hizo Nafasi, maana Sioni wanasheria wa Serikali wenye uwezo wa kupambana na hawa Jamaa.
Binafsi nilitegemea Lissu maana Dr slaa wangetumia mara kaiba mke wa mtu au kwa waislamu watasema ni padre ametumwa na Vatican, kimsingi ni vigumu kushinda, Lissu naamini angetoboa, hana kashfa, si wa kaskazini kwa propaganda ya ccm, siyo mzee wala kijana, cv yake haina unafiki, etc etc, mbali na haya yote Lissu hawezi kuibiwa kura akakaa kimpya maana haki itadaiwa kwa gharama yeyote ile. Mbowe umefanya kazi kubwa, umetoa mchango mkubwa, TUNAOMBA rusha kijiti kwa Lissu, tuko tayari kwa mapambano
Kwani kuwa Rais unatakiwa uwe na nini. je huyu tulienae unamwonaje?? Je anatufaa, nipe vigezo za Urais unavyojua wwKweli huu Urais mmeamua kuudhalilisha. hata huyu nae mwataka awe rais?
Unataka udhalilike vp, mbona ushadhalilikaKweli huu Urais mmeamua kuudhalilisha. hata huyu nae mwataka awe rais?