wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,645
Kwa hyo ndio mnataka kuendelea kuudhalilisha?Unataka udhalilike vp, mbona ushadhalilika
Kwa hyo ndio mnataka kuendelea kuudhalilisha?Unataka udhalilike vp, mbona ushadhalilika
Labda urais wa TFFTundu Lissu anatosha kuvaa viatu vya UKAWA 2020. Katuonyesha kwa vitendo ni jinsi gani anavyowatetea watanzania bila kujali uwezo wao.
Kwa kujieleza anaweza umri unamruhusu mikikimikiki yote anayaweza.
Hakika Lissu 2020 anatosha.
Mkitaka muangukie pua tena vibaya mno basi mumsimamishe huyo mropokaji, ina maana hamna back benchers wenye sifa??Tundu Lissu anatosha kuvaa viatu vya UKAWA 2020. Katuonyesha kwa vitendo ni jinsi gani anavyowatetea watanzania bila kujali uwezo wao.
Kwa kujieleza anaweza umri unamruhusu mikikimikiki yote anayaweza.
Hakika Lissu 2020 anatosha.
Jidanganye coz now hapa tuna MTU kama zimwi tu ila hana sifa ya kuwa rais kabsaaaHuko ukawa WASAHAU Mgombea 2020 ni moja tu si mwingine naye ni Magufuli.
Haiba ya urais ikoje?Huyo hafai kuwa rais.
Hana haiba ya urais.
Licha ya hivyo, hivi bado hao wapinzani wana mpango wa kuweka mgombea urais 2020?
Chini ya mazingira haya haya ya siku zote?
Pia ni muongo muongo siyo wa kumuamini anaweza akakwambia ana ushahidi wa jambo flani baadae akakwambia hana ushahidi uulete mwenyewe...YES.
..Kwa sasa hivi hapa Tz hakuna mwanasiasa mwenye kipaji cha siasa na harakati kama Tundu Lissu.
..Tundu Lissu ana sifa muhimu ya kuweza kujieleza, kujenga hoja, na ushawishi.
..Ukimsikiliza michango yake utagundua kwamba ni mtu anayejisomea sana na kutafiti kabla hajazungumza. Rejea mchango wake kuhusu mswada wa habari.
..Lingine anayo CREDIBILITY. Siyo mtu muoga. Ana historia ya kutetea wanyonge na kupambana na dhuluma ktk jamii.
..Tundu Lissu kama akigombea atakuwa mgombea bora kuliko yoyote yule aliyesimamishwa na vyama vya upinzani.
Akina nani unawazungumzia?kwa mwendo huu wa kubadilishia gia angani sidhani kama hata watamfikiria kwenye list
Kuna mropokaji kuliko aliyepo?Mkitaka muangukie pua tena vibaya mno basi mumsimamishe huyo mropokaji, ina maana hamna back benchers wenye sifa??
Tunaomba utupie hati ya mauzo, ili tukawashitakiLowassa hawezi kukubali pesa yake ipotee bure.Alipokinunua chama aliwaambia atakuwa mgombea wa kudumu.
Huyu wa sasa hakuwa na mpango ila akashangaa tu kapewa kiti.Kwani kuwa Rais unatakiwa uwe na nini. je huyu tulienae unamwonaje?? Je anatufaa, nipe vigezo za Urais unavyojua ww