Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Chadenma ni kweli mpango wa Mungu, kama rais wa nchi anashia kusema uvumilivu unamwishio wake jibuni mapigo na anashindwa kutumia vyombo vya kiusalama kudhibiti vurugu basi ujue nchi hiyo imelaaniwa, kwa kifupi fuatilia kifo cha mwangosi, tukio la Ulimboka, bomu la Arusha, mpka leo hii Rais kashindwa kuunda tume ili kupata ukweli anabaki kuimba taarabu hii ni aibu ya kiasi gani? tuna baki kubishana upuuzi...bahati nzuri Nchi hii ni nchi ya iliyo jaa watu wenye akili fupi!
 
Sio la kuuliza hilo, ni kweli CDM mpango wa Mungu.
1. Mpango wa kuhiujumu chadema kanda ya ziwa uliwekwa hapa mwanzoni mwa mwezi januari wajinga kama wewe mliuponda sana mwisho wa siku kilichotokea shinyanga umekiona,kama si mpango wa Mungu kwanini haya tuliyajua kabla.
2. Ugaidi wa kizushi wa Lwakatare, leo fuatilia wale wote waliokua nyuma ya pazia kama Msacky, zzk n.k wako wapi katika nafasi zao = mpango wa Mungu
3. Bomu la Soweto kuwalenga Mbowe na Lema lakini Mungu kawanusuru
4. Kesi mbalimbali zinazofunguliwa na Policcm, serikali na CCM mwisho wanaumbuka wao= mpango wa Mungu
5. Propaganda chafu zinazofanywa na Ccm, Tiss kama udini,ukanda,fujo, ili kuiua Cdm bado zinafeli= mpango wa Mungu
6. Nguvu kubwa inayofanywa na dola,bunge,tiss,policcm,tbccm, uhuru,mzalendo eti kuivuruga cdm tena kwa kununua makada wa CDM lakini hawafanikiwi,wakifanikiwa tayari washagundulika Mpango wa Mungu

Chadema ni Mpango wa Mungu kwasabab kimeamua kukaa mstari wa mbele kuwatetea wananchi wa Taifa hili ambao wamekua wakinyonywa na serikal dhalimu ya ccm.
 
Chadenma ni kweli mpango wa Mungu, kama rais wa nchi anashia kusema uvumilivu unamwishio wake jibuni mapigo na anashindwa kutumia vyombo vya kiusalama kudhibiti vurugu basi ujue nchi hiyo imelaaniwa, kwa kifupi fuatilia kifo cha mwangosi, tukio la Ulimboka, bomu la Arusha, mpka leo hii Rais kashindwa kuunda tume ili kupata ukweli anabaki kuimba taarabu hii ni aibu ya kiasi gani? tuna baki kubishana upuuzi...bahati nzuri Nchi hii ni nchi ya iliyo jaa watu wenye akili fupi!
Kama mnasema kuwa chadema ni mpango wa Mungu, inakuwaje wale mnaodhani kuwa wafuasi wenu wanapopatwa na matatizo anashindwa kuwanusuru? Pia, kama chadema ni mpango wa Mungu, inakuwaje viongozi na wafuasi wake wanajihusisha na matendo yanayomchukia Mungu kama usagaji, ushoga, ubakaji, uzinzi, mateso na uuaji?
 
Chadema ni Mpango wa Mungu kwasabab kimeamua kukaa mstari wa mbele kuwatetea wananchi wa Taifa hili ambao wamekua wakinyonywa na serikal dhalimu ya ccm.
Kwa hiyo wale wanaowatoboa macho na kuwa,wagia tindikali si wananchi?
 
Kama mnasema kuwa chadema ni mpango wa Mungu, inakuwaje wale mnaodhani kuwa wafuasi wenu wanapopatwa na matatizo anashindwa kuwanusuru? Pia, kama chadema ni mpango wa Mungu, inakuwaje viongozi na wafuasi wake wanajihusisha na matendo yanayomchukia Mungu kama usagaji, ushoga, ubakaji, uzinzi, mateso na uuaji?[/QUOTE


tatizo huwa siongelei nadharia/ udhanifu, kwanza huyu jamaa mnaye tembea naya kumdhalilisha aliyemwagiwa tindikali ni kwamba alimwagiwa na magamba wenzake baada ya kudhurumiana pesa, lakini kwa sababu chama hiki kimewafanya watu kuwa maskini sana, hivyo anauza utu wake kwa njaa ya kulipwa tuvijipesa ili ajifanye alimwagiwa na Chadema, na haya mambo ya uvunjifu wa amani si mambo ya kufanyia mzaha ni mambo mazito, kwanini yasichukuliwe kisheria na chama cha magamba wanafanya mambo kisiasa?
 
Kama ambavyo mtu anaweza kuandika uongo na uzushi ili kulipwa shilingi 7000/=hivi hatuoni kama hatuoitendei haki nchi yetu, kwanini usitafute kazi ya kihalali ili ukwa mzalendo wa nchi hii kuliko kuendekeza njaa ili kutumikia mafisadi kwa kupiga propaganda, hivi kama watu wote tungeendekeza hizo buku saba, mafisaid si wangekuwa wamelimaliza hii nchi, jamani tuamkeni, kuilinda nchi yetu propaganda za kipuuzi hazisaidii
 
Katika vyama vya siasa vya ajabu tanzania na chadema ni miongoni kimekwisha walianza na shetani watamaliza na shetani.

Wazazi wako wasipostukia mapema hali yako uliyonayo itakuwa imekula kwao make hawatakuwa na wakuwalea hapo baadae wakizeeka sana.Wakupeleke kwa KAKOBE ukaombewe haraka iwezekanavyo.
 
ccm=chama cha mashetani ndomana wanakumbatia mambo maovu ambayo baba yao ibilisi anayafanya.. I cast out ccm 2geza wth their demons go to ur home in the hell... all say ameeen!
 
ww mwenyewe ni mpango wa shetani nakushangaa unafanya nn duniani kaka yako shetani anaungua moto kuzimu
 
Umevurugwa ww, acheni
kumwagia watu tindikali, kuwalisha sumu, kuwateka na kuwaumiza vibaya na
hatimaye kuwasokomeza msitu wa ununio. Chadema ni wauwaji
wakubwa

hiki chama si ndo cha mwigulu muchemba? ni watu hatari sana kwa tindikali
 
Maafa yani wamenusurika?Wanawatengenezea wapinzani.Mara zote hutambue kwamba cdm ina Mungu nyie mna pesa(mungu)

Aisee!
Hakuna chama nnachokichukia zaidi ya CCM!
Ila spendagi kuongelea ushabiki!
Mungu ni wa wote na hayupo kwa ajili ya Chama fulani!
...
Ifikie pahali tuongelee real facts na sio mabishani ya shinikizo!
I hope umeewa hapa!
 
Kama mnasema kuwa chadema ni mpango wa Mungu, inakuwaje wale mnaodhani kuwa wafuasi wenu wanapopatwa na matatizo anashindwa kuwanusuru? Pia, kama chadema ni mpango wa Mungu, inakuwaje viongozi na wafuasi wake wanajihusisha na matendo yanayomchukia Mungu kama usagaji, ushoga, ubakaji, uzinzi, mateso na uuaji?

kila kinywa kinachotamka na kukiri kuwa `chadema ni mpango wa mungu' bila kuwa na uhakika kama kweli hii kauli ilitoka kwa Mungu, kitajuta siku ya kiyama kwani imeandikwa kuwa:
"Usilitaje bure jina la BWANA Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajae jina lake bure" (kutoka 20:7).
 
Wewe una maono yapi? Mbona hatukuelewi?

inawezekana kusoma hujui , lakini hata picha huoni ? TENA TUKIWEKA KIFUA MBELE , TUNASEMA BILA SHAKA YOYOTE KWAMBA CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU , HASA BAADA YA MAOVU YOTE YALIYOPANGWA NA CCM NA MAKANDOKANDO YAKE JUU YA CHAMA HIKI KUSHINDWA HATA KABLA YA KUANZA ! TEGEMEA KUUMBULIWA ZAIDI KWA KILA MWENYE NIA OVU DHIDI YA CHAMA TEGEMEO PEKEE LA UKOMBOZI WA WATANZANIA , HAYA YOTE HAYATOKEI KWA BAHATI MBAYA , BALI NI KWA VILE MUNGU ANA MPANGO MAALUM NA CDM NA WANANCHI KWA UJUMLA WAO ,UKIWEMO NA WEWE! HUO UMASIKINI WAKO MUNGU HAUFURAHII !
 
Chadenma ni kweli mpango wa Mungu, kama rais wa nchi anashia kusema uvumilivu unamwishio wake jibuni mapigo na anashindwa kutumia vyombo vya kiusalama kudhibiti vurugu basi ujue nchi hiyo imelaaniwa, kwa kifupi fuatilia kifo cha mwangosi, tukio la Ulimboka, bomu la Arusha, mpka leo hii Rais kashindwa kuunda tume ili kupata ukweli anabaki kuimba taarabu hii ni aibu ya kiasi gani? tuna baki kubishana upuuzi...bahati nzuri Nchi hii ni nchi ya iliyo jaa watu wenye akili fupi!

Ndugu una ushahidi ama ki/vithibitisho kuwa chadema ni mpango wa mungu? Je, ulisimuliwa na mtu ama ni Mungu ndiye kakutamkia kauli hii ? Na kama kauli hii haikutoka kwa Mungu wala Mungu hana mpango wowote na chadema kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Mithali 15:29 kuwa "BWANA yu mbali na wasio haki;..." je,wewe na wengine kama wewe utajiepushaje na hatia kwani imeandikwa kuwa, "Usilitaje bure jina la BWANA Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure"(kutoka 20:7)?
 
Wanamwagia watu tindikali, wanajiripua kwenye mikutano yao, viongozi wake ni wazinzi wa kutupwa mpaka wanafikia hatua ya kupora wake za watu, wanatoboa watu macho kwa bisibisi nk nk

nadhani unamwongelea kapuya na mr dhaifu mwenye watoto lukuki na kila mtoto na mama yake! au yule aliyefumaniwa Igunga!!
 
Back
Top Bottom