CHADEMA Wanamtanguliza Mungu Katika Shughuli Zao, Hii Huwa Inaonekana Katika Mikutano Yao Wakiwa Wanafanya Maombi Kabla Na Baada Ya Mikutano.
Kauli Zao Kama "Tulianza Na Mungu Tunamaliza Na Mungu" Na "Sauti Ya Umma Ni Sauti Ya Mungu" Ni Baadhi Ya Ushahidi Kwamba CHADEMA Wanamtanguliza Mungu Mbele.
Mungu Nae Kwa Vile Yeye Siyo Athumani Wala John Ameonekana Akikisaidi Chama Kuvuka Bahari Ya Shamu Na Jangwani Kama Wana Wa Israeli, Kwani CHADEMA Inapitia Misukosuko Mingi Kama Ya "Ugaidi", "Mauaji Ya Dkt Slaa" Na Mengine Mengi.
Lakin Wengne Wamefika Mbali Kuitabilia Kifo Kabla Ya Mda Flani Kwani Walikua Na Uhakika Kulingana Na Mikakati Waliyokuwa Wameweka.
Kwa Wenzangu CCM Sionagi Sehemu Wanapomtanguliza Mungu Zaidi Ya "Kitambi Mbele" Yaani Ufisadi Kama Inavyoonekana Alama Yako Ya Mkono Na Dolegumba.Vile Vile Wanatanguliza "Nyundo" Ya Kuwaponda Na Kuwakandamiza Watanzania.
Kweli CHADEMA Ni Mpango Wa Mungu, Kama Musa Na Wana Wa Israeli.
Mimi Sina Chama, Huo Ni Mtazamo Wangu.