Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Je, kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu?

Katika vyama vya siasa vya ajabu tanzania na chadema ni miongoni kimekwisha walianza na shetani watamaliza na shetani.
 
chama ambacho kinakemea kwa nguvu zote vitendo viovu eg rushwa,kung'oa watu kucha,ufisadi nk ni mpango wa MUNGU na chama ambacho kinakumbatia na ku-entertain vitendo viovu kama hivyo ni mpango wa SHETANI kama ccm wanavyo fanya
 
NDUGU MWANAJF,BILA SHAKA NA WEWE ULISHATAMKA AMA ULISHASIKIA KAULI KUWA CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU. BINAFSI NAOMBA KUJUA YAFUATAYO:

1.1) NI NANI ALIYETAMKA KUWA `CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU'? JE, NI MUNGU AU NI MWANADAMU?


1.2) NI NANI ALIYETAMKIWA KAULI HII?JE, NI MWANASIASA AU NI MTUMISHI WA MUNGU (i.e. NABII, MTUME etc)? (MTAJE KWA JINA). JE, ALIPATAJE KUIAMINI TAARIFA HII KUWA INA UKWELI NDANI YAKE?


1.3)NI KWA NJIA (CHANNEL) GANI TAARIFA/KAULI HII ILITOLEWA NA KUPOKELEWA?


1.4)NI LINI NA WAPI KAULI HII ILITOLEWA NA KUPOKELEWA?


1.5) JE, NI MPANGO WA MUNGU WA KUTUKOMBOA AU NI MPANGO WA MUNGU WA KUTUPELEKA/ KUTURUDISHA KATIKA UTUMWA WA KIFIKRA NA KISIASA?


NB: ACHA MATUSI NA KEJELI KAMA HUNA HOJA INAYOJIBU KIPENGELE/VIPENGELE HAPO JUU ILI KUEPUSHA KUJIVUA NGUO MBELE YA UMMA.

NAWASILISHA

Sio la kuuliza hilo, ni kweli CDM mpango wa Mungu.
1. Mpango wa kuhiujumu chadema kanda ya ziwa uliwekwa hapa mwanzoni mwa mwezi januari wajinga kama wewe mliuponda sana mwisho wa siku kilichotokea shinyanga umekiona,kama si mpango wa Mungu kwanini haya tuliyajua kabla.
2. Ugaidi wa kizushi wa Lwakatare, leo fuatilia wale wote waliokua nyuma ya pazia kama Msacky, zzk n.k wako wapi katika nafasi zao = mpango wa Mungu
3. Bomu la Soweto kuwalenga Mbowe na Lema lakini Mungu kawanusuru
4. Kesi mbalimbali zinazofunguliwa na Policcm, serikali na CCM mwisho wanaumbuka wao= mpango wa Mungu
5. Propaganda chafu zinazofanywa na Ccm, Tiss kama udini,ukanda,fujo, ili kuiua Cdm bado zinafeli= mpango wa Mungu
6. Nguvu kubwa inayofanywa na dola,bunge,tiss,policcm,tbccm, uhuru,mzalendo eti kuivuruga cdm tena kwa kununua makada wa CDM lakini hawafanikiwi,wakifanikiwa tayari washagundulika Mpango wa Mungu
 
NDUGU MWANAJF,BILA SHAKA NA WEWE ULISHATAMKA AMA ULISHASIKIA KAULI KUWA CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU. BINAFSI NAOMBA KUJUA YAFUATAYO:

1.1) NI NANI ALIYETAMKA KUWA `CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU'? JE, NI MUNGU AU NI MWANADAMU?


1.2) NI NANI ALIYETAMKIWA KAULI HII?JE, NI MWANASIASA AU NI MTUMISHI WA MUNGU (i.e. NABII, MTUME etc)? (MTAJE KWA JINA). JE, ALIPATAJE KUIAMINI TAARIFA HII KUWA INA UKWELI NDANI YAKE?


1.3)NI KWA NJIA (CHANNEL) GANI TAARIFA/KAULI HII ILITOLEWA NA KUPOKELEWA?


1.4)NI LINI NA WAPI KAULI HII ILITOLEWA NA KUPOKELEWA?


1.5) JE, NI MPANGO WA MUNGU WA KUTUKOMBOA AU NI MPANGO WA MUNGU WA KUTUPELEKA/ KUTURUDISHA KATIKA UTUMWA WA KIFIKRA NA KISIASA?


NB: ACHA MATUSI NA KEJELI KAMA HUNA HOJA INAYOJIBU KIPENGELE/VIPENGELE HAPO JUU ILI KUEPUSHA KUJIVUA NGUO MBELE YA UMMA.

NAWASILISHA

Wewe uliyaskia wapi hayo maneno?
 
Sio la kuuliza hilo, ni kweli CDM mpango wa Mungu.
1. Mpango wa kuhiujumu chadema kanda ya ziwa uliwekwa hapa mwanzoni mwa mwezi januari wajinga kama wewe mliuponda sana mwisho wa siku kilichotokea shinyanga umekiona,kama si mpango wa Mungu kwanini haya tuliyajua kabla.
2. Ugaidi wa kizushi wa Lwakatare, leo fuatilia wale wote waliokua nyuma ya pazia kama Msacky, zzk n.k wako wapi katika nafasi zao = mpango wa Mungu
3. Bomu la Soweto kuwalenga Mbowe na Lema lakini Mungu kawanusuru
4. Kesi mbalimbali zinazofunguliwa na Policcm, serikali na CCM mwisho wanaumbuka wao= mpango wa Mungu
5. Propaganda chafu zinazofanywa na Ccm, Tiss kama udini,ukanda,fujo, ili kuiua Cdm bado zinafeli= mpango wa Mungu
6. Nguvu kubwa inayofanywa na dola,bunge,tiss,policcm,tbccm, uhuru,mzalendo eti kuivuruga cdm tena kwa kununua makada wa CDM lakini hawafanikiwi,wakifanikiwa tayari washagundulika Mpango wa Mungu

Exactly majibu hayo hapo.Usiulize tena we bwana mdogo
 
Sio la kuuliza hilo, ni kweli CDM mpango wa Mungu.
1. Mpango wa kuhiujumu chadema kanda ya ziwa uliwekwa hapa mwanzoni mwa mwezi januari wajinga kama wewe mliuponda sana mwisho wa siku kilichotokea shinyanga umekiona,kama si mpango wa Mungu kwanini haya tuliyajua kabla.
2. Ugaidi wa kizushi wa Lwakatare, leo fuatilia wale wote waliokua nyuma ya pazia kama Msacky, zzk n.k wako wapi katika nafasi zao = mpango wa Mungu
3. Bomu la Soweto kuwalenga Mbowe na Lema lakini Mungu kawanusuru
4. Kesi mbalimbali zinazofunguliwa na Policcm, serikali na CCM mwisho wanaumbuka wao= mpango wa Mungu
5. Propaganda chafu zinazofanywa na Ccm, Tiss kama udini,ukanda,fujo, ili kuiua Cdm bado zinafeli= mpango wa Mungu
6. Nguvu kubwa inayofanywa na dola,bunge,tiss,policcm,tbccm, uhuru,mzalendo eti kuivuruga cdm tena kwa kununua makada wa CDM lakini hawafanikiwi,wakifanikiwa tayari washagundulika Mpango wa Mungu
Umevurugwa ww, acheni kumwagia watu tindikali, kuwalisha sumu, kuwateka na kuwaumiza vibaya na hatimaye kuwasokomeza msitu wa ununio. Chadema ni wauwaji wakubwa
 
Sio la kuuliza hilo, ni kweli CDM mpango wa Mungu.
1. Mpango wa kuhiujumu chadema kanda ya ziwa uliwekwa hapa mwanzoni mwa mwezi januari wajinga kama wewe mliuponda sana mwisho wa siku kilichotokea shinyanga umekiona,kama si mpango wa Mungu kwanini haya tuliyajua kabla.
2. Ugaidi wa kizushi wa Lwakatare, leo fuatilia wale wote waliokua nyuma ya pazia kama Msacky, zzk n.k wako wapi katika nafasi zao = mpango wa Mungu
3. Bomu la Soweto kuwalenga Mbowe na Lema lakini Mungu kawanusuru
4. Kesi mbalimbali zinazofunguliwa na Policcm, serikali na CCM mwisho wanaumbuka wao= mpango wa Mungu
5. Propaganda chafu zinazofanywa na Ccm, Tiss kama udini,ukanda,fujo, ili kuiua Cdm bado zinafeli= mpango wa Mungu
6. Nguvu kubwa inayofanywa na dola,bunge,tiss,policcm,tbccm, uhuru,mzalendo eti kuivuruga cdm tena kwa kununua makada wa CDM lakini hawafanikiwi,wakifanikiwa tayari washagundulika Mpango wa Mungu

Aisee! Kwani CCM hawanusuriki na maafa?
Je nao ni mpango wa Mungu?
...
Naomba mahusiano yaliyopo kati ya Chadema na Mungu.
 
Wanamwagia watu tindikali, wanajiripua kwenye mikutano yao, viongozi wake ni wazinzi wa kutupwa mpaka wanafikia hatua ya kupora wake za watu, wanatoboa watu macho kwa bisibisi nk nk

viongozi wake ni wezi wa tembo,twiga.Wabakaji eg Kapuya.Mafisadi.Hakika ccm ni mpango wa mungu
 
Aisee! Kwani CCM hawanusuriki na maafa?
Je nao ni mpango wa Mungu?
...
Naomba mahusiano yaliyopo kati ya Chadema na Mungu.

Maafa yani wamenusurika?Wanawatengenezea wapinzani.Mara zote hutambue kwamba cdm ina Mungu nyie mna pesa(mungu)
 
Kumuhusisha mungu na wauwaji wa chadema ni kufanya shiriki, yaani kumuasi mungu
 
Back
Top Bottom