Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 231
- 413
Swala la chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa uviko unaosababishwa na kirusi hatari zaidi kwa sasa, bado halijakuwa na mwamko kama ilivyo kwa chanjo nyingine kama polio, bcg.
Je, kwanini unadhani watu bado wanagoma kuchanja chanjo hii?
Kama mwezi ulopita nilikutana n rafiki yangu wa muda, aliyenipa habari za msiba wa mtu niliyekuwa ninamfamu, dada flani alikuwa mlinzi wa kanisa nadhani ni PCEA makongo.
Kwa mtazamo wake, aliniambia wanaamini marehemu alifariki kutokana n chanjo ya corona.
Aliniambia kuwa, baada ya siku chache baada ya marehemu kuchanjwa, alianza kuugua hadi umauti kumkuta.
Hilo ni wazo lake. Kwa mlioichukua fursa ya kupata chanjo hii, ninaomba mtupe ufafanuzi kama hio chanjo ikekuwa na athari zozote kwenu.
Mliobaki wenzangu na mie ambao bado hatujachanjwa, mnalichukuliaje hili swala la kupata kinga n kwanini hadi sasa hamjaenda kupata chanjo?
Je, kwanini unadhani watu bado wanagoma kuchanja chanjo hii?
Kama mwezi ulopita nilikutana n rafiki yangu wa muda, aliyenipa habari za msiba wa mtu niliyekuwa ninamfamu, dada flani alikuwa mlinzi wa kanisa nadhani ni PCEA makongo.
Kwa mtazamo wake, aliniambia wanaamini marehemu alifariki kutokana n chanjo ya corona.
Aliniambia kuwa, baada ya siku chache baada ya marehemu kuchanjwa, alianza kuugua hadi umauti kumkuta.
Hilo ni wazo lake. Kwa mlioichukua fursa ya kupata chanjo hii, ninaomba mtupe ufafanuzi kama hio chanjo ikekuwa na athari zozote kwenu.
Mliobaki wenzangu na mie ambao bado hatujachanjwa, mnalichukuliaje hili swala la kupata kinga n kwanini hadi sasa hamjaenda kupata chanjo?