gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
uzi umeenda sana lkn naomba niseme japo kidogo..............
binafsi naamin ndoa sio kitu cha muhimu kwenye maisha ya binadamu manke ukikosa bado unaweza kuish kwa maana ya ukapumua na kula na kunywa.
lakin ndoa ni kitu kinachokamilisha maisha yako kwa maana ya kuwajibika kijamii zaid. mwanaume/mwanamke kama hajaweka nadhir ya useja basi ndoa hukamilisha maisha yake.
binafsi naipenda na napenda kuona mtu yuko kwenye ndoa yake, furaha yangu huzidi zaidi pale majukumu yanapoongezek zaidi
binafsi naamin ndoa sio kitu cha muhimu kwenye maisha ya binadamu manke ukikosa bado unaweza kuish kwa maana ya ukapumua na kula na kunywa.
lakin ndoa ni kitu kinachokamilisha maisha yako kwa maana ya kuwajibika kijamii zaid. mwanaume/mwanamke kama hajaweka nadhir ya useja basi ndoa hukamilisha maisha yake.
binafsi naipenda na napenda kuona mtu yuko kwenye ndoa yake, furaha yangu huzidi zaidi pale majukumu yanapoongezek zaidi