Nipo umeadimika kimtindooooo........hebu kasome first meeting na ujiandae kwa aibu hiyo!!!!!
Uko poa lakini!!!!!??????
Ngoja nikajionee....
Nipo umeadimika kimtindooooo........hebu kasome first meeting na ujiandae kwa aibu hiyo!!!!!
Uko poa lakini!!!!!??????
Nani alikuambia maziwa nia antidote ya kila sumu..mtu akipata botolinum toxin unampa maziwa eehe..wabongo tuache ujuaji wa kishamba..Wapeni maziwa!
Kwa kuongezea tu Zinaa NDANI ya ndoa (KUCHEPUKA) ni dhambi pia! Na zinaa yaweza fanywa na yeyote awe katika NDOA au asiwe!
Ndoa si Dawa au chanjo ya kuzuia UZINZI!
Akazae na nani?
Siku hizi kuna mahali wana-donate sperms ambazo donors hawajulikani?
Ndoa ni muhimu sana labda kama inazidisha kero kuliko amani....
Ni muhimu kutochanganya vitu hapa; mwanamke kujitegemea vs kumtegemea mume, kuishi kwenye ndoa kwa kulazimiaka hata kama ina karaha, na umuhimu wa ndoa katika maisha yetu (wanaume na wanawake)! Hivi ni vitu tofauti kabisa.
Pamoja na matatizo tunayokumbana nayo kila siku, yet nawashauri watu wote ambao hawana kizuizi wajitahidi kupata na kuishi kwenye ndoa. Ila wasivumilie ndoa ambazo zinahatarisha maisha yao kwa namna yoyote!
ni kweli kwa familia zetu za kiafrika wanaamini ndoa ndio kila kitu kwa binti na niheshima pia kwako na kwa familia nzima....... ila kwa upande wangu sioni kama ndoa ndo kila kitu zaidi naona kama ndoa ni zigo lisilobebeka likiwa na kila aina ya karaha ambazo hizo karaha unzikubali na kuzikaribisha mwenyewe kwa kukubali kuolewa kama ninakosea aisee akili yangu ipo kama imeathirika kidogo kuamini ndoa kama ni sehemu yenye furaha na amani
Don't listen to loosers....especially here in jf.
kweli mkuu hawa watu washa zeeka kabsaa
Don't listen to loosers....especially here in jf.
Ndoa katika hizi zama? Zama za ma fesbuk, ma twita, ma instagram, ma email?
Watu wapo kwenye ndoa lakini kwenye kila mtandao waliopo wana wapenzi.
Kwa watu tunaopenda uadilifu wa hali ya juu na ulionyooka ni vigumu sana kumpata mtu mnayeendana naye.
We fikiria, wewe na mwenzio mpo humu halafu inakuja njemba inamwambia mwenzio 'i love you' na kumgongea ma likes kibao....
Hivi kweli hutapatwa na mawazo mabaya kuhusu hao wawili? Na hapo hujui kwenye ma PM huko wanafanya nini. Hujui kama ana majina mengine humu. Bado huko fesbuk sasa....hmmmm......kazi sana kwa kweli.
Wangapi humu JF, kwa mfano tu, kila mara wanadai kuwa wapo kwenye ndoa lakini kila kukicha ni kuambiana 'i love you', 'always love you' na watu ambao si wake au waume zao?
Hivi kweli mtu anaweza kunambia kuwa mwenza wake ana approve hayo mambo anayoyafanya humu? Oh well...it's their business, I guess. But at least you get the picture of where I'm coming from.
Kwa ufupi, ndoa ni jambo zuri lakini si la lazima kama hewa ya oksijeni au chakula.
Mtu huwezi kufa kisa tu haupo kwenye ndoa.
Yaani siku ukioa wewe, utakufa kwa presha, unaogopa sana kupigwa za uso.
Kikubwa ni kuweka misimamo wazi tangu awali (juzi ndio nimefanikiwa kumwambia zombie ID yangu hapa, nna mawazoje sasa? Ajue siku zote namwita zombie, Kaka naomba uniandalie PF3)
Dunia inabadilika pamoja na watu wake, sema tu wewe bado uko kizamani:evil:, unaogopa mke mwenye twira na insta?
Ila ukipekua pekua utampata. Mie mwenyewe nilijisemea, mwanamme mjuzi sana wa mitandao neh, labda kama ni kwa ajili ya kazi zaidi, ila kuchat tu, nitakufa na presha.
Ndoa katika hizi zama? Zama za ma fesbuk, ma twita, ma instagram, ma email?
Watu wapo kwenye ndoa lakini kwenye kila mtandao waliopo wana wapenzi.
Kwa watu tunaopenda uadilifu wa hali ya juu na ulionyooka ni vigumu sana kumpata mtu mnayeendana naye.
We fikiria, wewe na mwenzio mpo humu halafu inakuja njemba inamwambia mwenzio 'i love you' na kumgongea ma likes kibao....
Hivi kweli hutapatwa na mawazo mabaya kuhusu hao wawili? Na hapo hujui kwenye ma PM huko wanafanya nini. Hujui kama ana majina mengine humu. Bado huko fesbuk sasa....hmmmm......kazi sana kwa kweli.
Wangapi humu JF, kwa mfano tu, kila mara wanadai kuwa wapo kwenye ndoa lakini kila kukicha ni kuambiana 'i love you', 'always love you' na watu ambao si wake au waume zao?
Hivi kweli mtu anaweza kunambia kuwa mwenza wake ana approve hayo mambo anayoyafanya humu? Oh well...it's their business, I guess. But at least you get the picture of where I'm coming from.
Kwa ufupi, ndoa ni jambo zuri lakini si la lazima kama hewa ya oksijeni au chakula.
Mtu huwezi kufa kisa tu haupo kwenye ndoa.
hahahaha!!! "i love u".
Naweza kusema hivi;
Kimsingi ndoa ina umuhimu sana kwenye maisha ya binadamu isipokuwa wale wenye kazi maalum ambazo zinaweza kuwafarakanisha na wandani wao
Kimsingi kwa maisha haya ya sasa mwanamke kama hajaolewa kuna mawili,tabia yake sio nzuri au huenda hataki kuolewa
Hapo kwenye kutotaka kuolewa kunaweza kwa na sababu nyingi sana lakini ni vigumu sana kumkuta mwanamke ambae ni mzima kabisa halafu hana mtoto,hilo nalo ni tatizo lingine
Unaweza kujiuliza kama huyu ambae leo anasema hataki kuolewa na kwanini ana mtoto,bado na hapa napo kunaweza kuwa na sababu pia
Lakini kwa ujumla karibia wengi ni kuwa ni vigumu kumkuta anadai kuwa hataki kuolewa halafu awe hajishughulishi na masuala ya ngono,labda awe na tatizo
Kwa mtazamo huu ukitizama suala hili ni wazi tu kuwa inaweza kuwa hakuna ambae hataki mahusiano ya ndoa bali wapo ambao wameamua kuikana kwa hofu ya kutendwa tu lakini ndani mwao wanaitamani sana!
"i love u more" hahahaha!!!
"mwaaaaaah"