Je, kuwa na mtoto ni lazima?

Je, kuwa na mtoto ni lazima?

kwaiyo mnazaaa ili baadae waje kuwasaidia?dah poleni maana nishaona kibao watoto wamezaa ni hasara tu
We mwenyewe ni hasara tupu kwa wazazi wako ..... Unazani wakikusikia unabwabwaja huu ubwabwa wako watajisikiaje......? Hili bao Bora mzee wako angemwaga kwa nje....

Sent from my TECNO F2LTE using JamiiForums mobile app
 
Kwenu wanawake kunajamaa alileta uzi kuwa kwenye wanaume 100 basi 16 ndio wazima ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Basi mambo ndio Kama hivi

Sent from my TECNO F2LTE using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom