Je, kuwa na mtoto ni lazima?

Je, kuwa na mtoto ni lazima?

kama vitu gani mkuu?mi najua kama utaishi vizuri na ndugu na watoto wa ndugu hutokosa kitu sababu pia wao ni watu wa karibu
Elewa kuna tofauti kubwa ya kulea watoto wa jirani na watoto wa damu yako.Hilo ni zao lako ambalo linaweza kuja kukufaa kesho!!Hujui ukizeeka na wewe unarudi utotoni unataka kulelewa na kutunzwa?Usifikirie sasa tu fikiria na kesho mkuu.
 
Uchaguzi wa kuamua kuishi bila kuzaa watoto,huku ukiwa huna tatizo kiafya ni ubinafsi wa hali ya juu simply cause Life rejuvenates and acquires energy when it multiplies: It is enriched, not impoverished...ni kanuni ya uumbaji hutakiwi kuiblock!
hapo nimekuelewa mkuuu,pia naskia kama mwanamke akiwa hana matatizo ya uzazi na akiamua asizae hua anumwa umwa kila mara?je ni kweli?
 
hapo nimekuelewa mkuuu,pia naskia kama mwanamke akiwa hana matatizo ya uzazi na akiamua asizae hua anumwa umwa kila mara?je ni kweli?

Kuna watu wengi humu wenye discipline na elimu ya uzazi,nafikiri wakipita hapa utashauriwa accordingly!
 
Ee! Mwenyezi Mungu Msamehe M2 Huyu! Hv Wewe Kama Babayako Angekuwa Na Akili Chafu Kama Ya Kwako Leo Hiwewe Ungekuwepo!!!! Kaa Chini Utafakali Kwanza! Au Wewe Ni Hanic Nn! Unaamua Kuanza Kujitetea Mapema!
 
habari zenu wadau,

nilikua nahitaji mitazamo yenu kuhusu kuzaa watoto, je kuna ulazima wa kuwa na mtoto hapa duniani hata kama umeoa? Binafsi mimi sipendi watoto na sina mpango wa kupata mtoto hata kama nikioa nitatafuta ambaye mgumba au mwenye malengo kama yangu.

Sababu kuu ya kufanya hivo ni kua watoto ni energy, time and money consuming plus wanaleta stress tu, nataka maisha ya kua free sitaki majukumu yanaoweza kunihold back katika mambo yangu. Je, jamii inalichukuliaje swala hili? Naamini sipo peke yangu mwenye mawazo kama haya.

Karibuni wadau mtoe mitazamo yenu

ni mawazo yako (kiburi cha ujana) ukifika uzeeni ndo utajua nini maana....
 
Ngoja ufikishe miaka 70 wakati unajinyea huku ukiwa na mkongoja ndio utajua kuwa mtoto ni hazina
 
SASA KAKA KAMA UKO TaYARI KUTUNZA WATOTO WA NDUGU ZAKO HAPO UMEKWEPA NINI!? LABDA UNGESEMA, HAKUNA ULAZIMA KUZAA WENGI
 
We kajamaa ni kapumbavu sana wenzio tushazaa tukiwa 17 we unaporomosha ujinga tu apa mi nna watoto lakini sikai nao juzi nimeletewa mmoja nimfaham ndo nkajua umuhim wa watoto anadeck, anaosha vyombo, namtuma dukani n.k sasa anaemlea kamchukua naanza kuona pengo we unasema watoto wanaleta stres bulshit!
 
Inaelekea wewe ni mgumba wala sii kwamba hautaki watoto, pia inaonyesha unatumiks kitambo sana ndio maana hujajaribu hata kumtafuta mwenzio, chamsingi endelea kuliwa
 
Habari zenu wadau,

Nilikua nahitaji mitazamo yenu kuhusu kuzaa watoto, je kuna ulazima wa kuwa na mtoto hapa duniani hata kama umeoa? Binafsi mimi sipendi watoto na sina mpango wa kupata mtoto hata kama nikioa nitatafuta ambaye mgumba au mwenye malengo kama yangu.

Sababu kuu ya kufanya hivo ni kua watoto ni energy, time and money consuming plus wanaleta stress tu, nataka maisha ya kua free sitaki majukumu yanaoweza kunihold back katika mambo yangu. Je, jamii inalichukuliaje swala hili? Naamini sipo peke yangu mwenye mawazo kama haya.

Karibuni wadau mtoe mitazamo yenu

Sio lazima kua na mtoto ila ni Muhimu sana kua na mtoto.
Tafakari.
 
ww sio great thinker hata kidogo, nahisi medulla oblongata yako ni HIV affected
 
Ngoja mzeeke ama uumwe nakusa pesa we na mgumba wako ndo utapata jb apa watu watakuw wanapigia mbuz gitaa tu.
 
kwaiyo mnazaaa ili baadae waje kuwasaidia?dah poleni maana nishaona kibao watoto wamezaa ni hasara tu
 
Habari zenu wadau,

Nilikua nahitaji mitazamo yenu kuhusu kuzaa watoto, je kuna ulazima wa kuwa na mtoto hapa duniani hata kama umeoa? Binafsi mimi sipendi watoto na sina mpango wa kupata mtoto hata kama nikioa nitatafuta ambaye mgumba au mwenye malengo kama yangu.

Sababu kuu ya kufanya hivo ni kua watoto ni energy, time and money consuming plus wanaleta stress tu, nataka maisha ya kua free sitaki majukumu yanaoweza kunihold back katika mambo yangu. Je, jamii inalichukuliaje swala hili? Naamini sipo peke yangu mwenye mawazo kama haya.

Karibuni wadau mtoe mitazamo yenu

Acha usizae pia tumia kinga siku zote usijewapa mabinti wa watu mimba. Au nenda kafunge kizazi kabisa. Kila lakheri
 
Mbweya ww umekosa cha kusema wote tukiwa kama ww baada ya miaka 20 itakuaje
 
Back
Top Bottom