Billy the Goat
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 566
- 353
Dhambi ni nini?
Kama wewe huoni kwahyo ndio sahihiSioni manufaa ya kuvuta sigara, kwani ni lazima kufanya kila kinachofanywa na wengine ?
Wewe unavuta Sigara ?
KwakoHakuna kitu inaitwa makuruhu kwenye quran na hadithi. Ukitaka kujua kitu ni halali au haram na ukakosa kwenye quran na hadithi basi unacho takiwa kufanya ni kupima hicho kitu kwa akili.
Kama faida ya hiyo kitu ni kubwa kuliko hasara basi hiyo kitu itakua ni halali.
Na hasara ya hiyo kitu ikiwa ni kubwa kuliko faida basi hiyo kitu itakua ni haram.
Kwa hiyo hasara ya sigara ni kubwa kuliko faida, kwa hiyo sigara ni haram.
Na sigara ina dhuru afya ya mtumiaji. na quraa inasema: {{Wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo.}} [Al-Baqarah, 2: 125]
Sigara ni HaramKwako
Kwahyo ndio sigaraNimesha taja hapa juu Shajaratul Maloona kwenye Quran, kwa hiyo usijifanye mjuaji sana!
AndikoSigara ni Haram
Siku zote mzalishaji anafaida ata kampuni ya computer inafaidi hivyo hilo sio tatizo kabisa, kama jambo linatafasiri nyingi wacha zisemwe ili kila mtu achague anapoona ni sahihi zaidi
Mkuu naomba nitofautiane na wewe. Kati Uislam sigara haipo kwenye uharamu. Sigara ipo kwenye MAKRUHU
Makruhu ni jambo ambalo ni bora au vizuri ukaliacha lakini utakapolifanya hupati dhambi
sigara ina dhuru afya ya mtumiaji. na andiko linasema {{Wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo.}} [Al-Baqarah, 2: 125]Andiko
Basi wewe tusaidie faida ya sigara ili tunufaike wote.Kama wewe huoni kwahyo ndio sahihi
Kama itakuwa na japo manufaa kidogo.Kwahyo hata sigara inahitaji kiasi si ndio
Ngoja nipate kwanza Embassy nishapata kiu
na wanaopika chakula kwa kutumia kuni na mikaa inayotoa moshi, je , moshi huo hauna shida kwao! ?Uvutaji wa Sigara ni Dhambi kwakuwa.
1. Ni madawa ya kulevya
2. Haina faida yoyote kwa afya ya mwili wako.
3. Ina haribu Afya ya mwili wako uliotengenezwa kwa thamani kubwa sana.
4. Ina haribu Afya ya walio jirani yako.
5. Ina (adiction) inayokupelekea kudhohofisha akili yako ifikirie kuvuta sigara badala yawaza mambo ya maana.
6. Unakupotezea muda na kipato chako bila faida yoyote.
7. Ni Sumu kali unayokudhohofisha siku hadi siku, maisha ya wavuta sigara ni mafupi.
8. Inasababisha kushambuliwa na magonjwa hatarishi kama TB na Kansa
9. Inashawishi wengine kuiga tabia ya uvutaji ambayo haina faida yoyote.
10, Inakuchafua kwa harufu mbaya, uchafu na kuwa kero kwa mkeo na watu wa karibu yako.
NAKADHALIKA.
Kwa watumiaji inawaburudisha, inawafanya wajisikie free, inawapa kampani etc......inawapa furaha ya nafsiKama itakuwa na japo manufaa kidogo.
Tueleze manufaa ya sigara ili tujifunze kwako.
Kuwa na kiasi ni kwa vile vitu vyenye umuhimu tu.
Kama kula chakula.
Kwahiyo unakataa kuwa computer haina madhara au kipi unapinga? suala la tahadhari sio sababu inategemea serikali inanufaika vip na ilo suala, mbona serikali nyingine zimeruhusu ushoga lakini nyingine zimekataa , hapa Tunazungumzia kipimo gani kimetumika kufanya madhara ya sigara yawe dhambi lakini madhara ya computer ambayo ni cancer n.k isiwe dhambi ? jikite hapoKulinganisha sigara na computer ni kupoteza muda. If computers were harmful to human health, governments all over the world, wangeweka tahadhari kwenye matumizi yake, just like they do for cigarettes!
na wanaopika chakula kwa kutumia kuni na mikaa inayotoa moshi, je , moshi huo hauna shida kwao! ?