Uzi maalumu wa wavutaji wa Sigara

Uzi maalumu wa wavutaji wa Sigara

Holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
8,702
Reaction score
19,592
Baada ya kukosekana kwa muda mrefu uzi wa kututetea sisi wavuta sigara, sasa rasmi huu ni uzi wetu sasa, tujimwaye mwaye, tubadilishane uzoefu.
Ulianza vipi kuwa mvutaji wa sigara?
Karibuni wazee wa sigara, hata zile kubwa ni ruksa kuzijadili lakini kwa tahadhari.

NB: UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO.
 
Jihadharini na kifua kikuu. Kuna madogo mtaani wameambukizana kisa kupasiana fegi na ganja....

Kama unavuta vuta yako mtu akiomba mgee yake ila usivute sigara moja.
ku share sigara moja haiwezi kusababisha maambukizi ya magonjwa kwani bakteria wote hufa kwenye ule moshi mkali wa sigara!
 
Angalizo,usivute sigara maeneo ya umma,ukiwa na arosto ya sigara,toka eneo la umma,nenda eneo tulivu vuta sigara zako rudi endelea na kazi.
October 29 massacre iliondoka na binamu yangu baada ya kutoka nje kufuata sigara dukani,mkewe alituambia alisema tu naenda kununua fegi hapo nje akarudi wa kuzika.

Maisha ni ya ajabu sana haya.
 
Back
Top Bottom