Je! Kuvuta Sigara ni Dhambi?

Je! Kuvuta Sigara ni Dhambi?

Shaka -Zulu heshima yako mkuu, kwa uelewa wangu sigara katika uislamu si dhambi bali makuruhu (yaani ni kama kero kwako na kwa Wengine), makuruhu ikizidi hua ni dhambi,
Kama una dalili basi leta (dalili mfano hadithi, aya, kisa n.k )
Nipo radhi kukosolewa
Mtume (s.a.w) amesema; kila kinacholevya ni haramu kukitumia,
naomba kuwasilisha kwa kujibia hoja.
 
Wakuu Salaam.

Naamini mko salama, na kwa wale mliopata nafasi ya kuhudhuria ibada ni matumaini yangu mmekuwa na ibada njema.

Moja kwa moja kwenye swali langu, Je! Kuvuta sigara ni dhambi?

Naomba ku - declare interest kuwa binafsi si mvutaji wa sigara na sina mpango wa kuwa mtumiaji, lengo la uzi huu ni kutaka kuongeza ufahamu na uelewa.

Kwa muda nimekua nikisikia watu mbalimbali wanapokuwa wakitoa hotuba za mahubiri na hata leo nimelisikia tena waki-categories uvutaji wa sigara kama mojawapo ya dhambi, ingawa ni kweli uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya lakini Biblia haitaji wazi kuwa uvutaji wa sigara ni dhambi kama ilivyotaja wazi kwa mfano uzinzi, uasherati, wizi, ufisadi, ufiraji nk nk nk kuwa ni dhambi na viko vifungu ktk Biblia vinaeleza hilo kwa uwazi kabisa.

Naomba kwa wataalamu wa maandiko walioko humu wanisaidie kufahamu ni sehemu gani ktk Biblia imeandikwa uvutaji wa sigara ni dhambi au hawa wanao - categories uvutaji wa sigara kama mojawapo ya dhambi wanatumia maandiko yapi na kwa nini.

Thanks in advance kwa elimu nitakayoipata hapa.


Mkuu, kwanza yakupasa uelewe dhambi ni kitu gani, dhambi ni sumu inayoangamiza roho, kuna kuangamiza roho (kutenda dhambi) kwa njia mbalimbali, kama ulivyo ainisha mwenyewe aina ya dhambi kama uzinifu nk, hizo ni dhambi za moja kwa moja. kuna aina ya dhambi ambazo sio za moja kwa moja ambazo huandaliwa mazingira ili zitokee, mfano kudhuru mwili kwa makusudi ukizingatia kuwa mwili na roho zina mahusiano, yaani mwili wenye Afya na roho yenye afya na vice versa, sasa roho ikiwa haina afya matokeo yake utakuwa na roho itakayo tekeleza maasi.

Kifupi kuvuta sigara au kufanya jambo linalodhuru afya ya mwili ni makosa mbele ya Mungu. Ndiyo maana hatuoni katika historia manabiii Mungu walivuta sigara wala kutumia vyovyote vinavyodhuru afya za mwili si Muhammad (saw) wala nabii Isa (as), nabii Muhammad (saw) alisema "kuleni vilivyo halali na vizuri".
 
Cha kushangaza ni moshi ya kuni haina shida kwa binadamu. Zaidi zaidi inafanya macho yawe nyekundu, na pengine kuitwa mchawi! Lakini moshi ya sigara imejaa sumu ya kila aina - nicotine na toxic chemicals tele.
kwahiyo moshi wa kuni hauna sumu yoyote! ?
 
Wakuu Salaam.

Naamini mko salama, na kwa wale mliopata nafasi ya kuhudhuria ibada ni matumaini yangu mmekuwa na ibada njema.

Moja kwa moja kwenye swali langu, Je! Kuvuta sigara ni dhambi?

Naomba ku - declare interest kuwa binafsi si mvutaji wa sigara na sina mpango wa kuwa mtumiaji, lengo la uzi huu ni kutaka kuongeza ufahamu na uelewa.

Kwa muda nimekua nikisikia watu mbalimbali wanapokuwa wakitoa hotuba za mahubiri na hata leo nimelisikia tena waki-categories uvutaji wa sigara kama mojawapo ya dhambi, ingawa ni kweli uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya lakini Biblia haitaji wazi kuwa uvutaji wa sigara ni dhambi kama ilivyotaja wazi kwa mfano uzinzi, uasherati, wizi, ufisadi, ufiraji nk nk nk kuwa ni dhambi na viko vifungu ktk Biblia vinaeleza hilo kwa uwazi kabisa.

Naomba kwa wataalamu wa maandiko walioko humu wanisaidie kufahamu ni sehemu gani ktk Biblia imeandikwa uvutaji wa sigara ni dhambi au hawa wanao - categories uvutaji wa sigara kama mojawapo ya dhambi wanatumia maandiko yapi na kwa nini.

Thanks in advance kwa elimu nitakayoipata hapa.

Chochote utakachotumia na kikakudhuru hali yakuwa unajua hiki kina madhara basi utaandikiwa umefanya uovu hivyo utapata dhambi.
Na hapa vitaingia vitu vingi sana.
 
Chochote utakachotumia na kikakudhuru hali yakuwa unajua hiki kina madhara basi utaandikiwa umefanya uovu hivyo utapata dhambi.
Na hapa vitaingia vitu vingi sana.
Kama Sigara
Aliyetengeneza kaandika kabisa,

" Ni hatari kwa afya yako"

Bado unajitoa ufahamu na kuendelea kuitumia.

Hivi Sigara ni bora kuliko afya yako ?
Wale wanaotumia wajitahidi kuanza hatua za kuachana nayo ili kulinda afya zao.
Wale wanaotaka kujifunza uvutaji sigara waache kufanya hivyo.

Sigara ni kama tendo la kujiua, na kujiua ni dhambi pia.
 
Back
Top Bottom