Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Ni mpango wa shetani katika kutimiza azma yake.Shetani ndio kamwambia mwanamke avae artificial?! Makubwa 🚶🚶
Alianza na mkutano wa Beijing,haki sawa mwanamke na mwanaume..(sasa hapa kuna mambo mengi mno ikiwa ni pamoja na hizo vitu bandia,kuchubua miili..na mengine mengi hata nikiyaelezea sitoeleweka)
Sasa anaenda kwa wanaume.
Unafikiri hapa tulipo tupo salama!!!ni huruma ya Mungu inahitajika tu.