Leo katika kijiwe kulikuwa na mjadala ya kwamba, ukubwa wa kishogo (kisogo) unasaidia kutambua uwezo wa akili aliyinayo mtu, hususani mtoto.
Moja ya wadau walidai ya kwamba, hata watoto wengi wenye mtindio wa ubongo (kutokana na kuzaliwa) hawana kishogo, yaani, hakuna tofauti kati ya shingo na kichwa. Je kuna ukweli wowote?
Moja ya wadau walidai ya kwamba, hata watoto wengi wenye mtindio wa ubongo (kutokana na kuzaliwa) hawana kishogo, yaani, hakuna tofauti kati ya shingo na kichwa. Je kuna ukweli wowote?