primolut N
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 391
- 316
Tunaishi mda gani hapa?
Hilo nalo neno. Hata hivyo inadaiwa viongozi duniani wakiwemo wa dini, huwa wanaogopa kuwa, ukweli ukijulikana kuwa kuna viumbe wengine ulimwenguni mbali na binadamu, italeta mkanganyiko mkubwa sana. Possibly itabadili kabisa hata mitazamo ya wanadamu kwenye dini zao. So, wanaona ni bora humanity ibakie gizani kuliko kuleta kihoro duniani.Sasa kama kuna hole kwanini hao NASA wanaficha shida ninini? Kwani dunia ikiwa na uwazi kwa ndani wao kinachowakera ninini hata waedit picha?
Hilo nalo neno. Hata hivyo inadaiwa viongozi duniani wakiwemo wa dini, huwa wanaogopa kuwa, ukweli ukijulikana kuwa kuna viumbe wengine ulimwenguni mbali na binadamu, italeta mkanganyiko mkubwa sana. Possibly itabadili kabisa hata mitazamo ya wanadamu kwenye dini zao. So, wanaona ni bora humanity ibakie gizani kuliko kuleta kihoro duniani.
Mmh basi kazi ipo. Lakini mambo ya tafiti hayana ukomo kama watafiti wa mwanzo walikosea baadae ukweli ukapatikana juu ya jambo husika kwanini iwe shida kuwekwa wazi?
Tangu incident ya Roswell nchini Marekani 1947, inayodaiwa kuhusisha UFO (Unidentified Flying Object), kumekuwepo masimulizi mengi yanayoonyesha kutokea kwa Aliens maeneo mbalimbali.Aliens aliens vurugu tupu tu kama wapo watajitokeza tu
Unajua mkuu Uzi uliyouleta ni mgumu sana na unaumiza kichwa sana kwa sababu imebeba mambo matatu makubwa.Baadhi ya Wataalamu wa Conspiracy Theory wamekuwa wakionyesha kuwa, Dunia ni hollow (Tundu) ambalo lina mwanga (Jua dogo) kwa ndani na kuwa kuna viumbe (Aliens) wanaoishi ndani yake wakiwa na ustaarabu wa hali ya juu. Ustaarabu huo unaitwa Agartha na Mji Mkuu ni Shamballah
View attachment 817224
Wataalamu hao wamekuwa wakieleza kuwa, Ncha za Kaskazini na Kusini zina uwazi (hollow) ambayo huwa hauonyeshwi kwa makusudi na picha za satellite. Wanadai licha ya jitihada nyingi za NASA ku-edit eneo hilo, bado baadhi ya picha zinaonyesha shimo (hole) kwenye Ncha ya Kaskazini.
View attachment 817270
Aidha, inaelezwa kuwa, ukifika eneo hilo joto huongezeka licha ya eneo la Ncha ya Kaskazini kufunikwa na barafu kutokana na joto linalotoka ndani ambako kuna jua dogo.
Eneo hilo linalindwa na Marekani na ndege haziruhusiwi kupita eneo hilo, ukilazimisha unadunguliwa.
View attachment 817227
Wajuvi wa mambo nadhani mtatusaidia juu ya hii kitu.
Ukifuatilia You Tube juu ya Hollow Earth utajifunza mengi.
Katika suala la aliens sina uhakika nalo ila nitagusia kuhusu hizo flying object hivyo vi saucer.Tangu incident ya Roswell nchini Marekani 1947, inayodaiwa kuhusisha UFO (Unidentified Flying Object), kumekuwepo masimulizi mengi yanayoonyesha kutokea kwa Aliens maeneo mbalimbali.
Vilevile, wanasayansi kadhaa hasa wale retired from NASA, wamekuwa wakitoa shuhuda za kuhusika moja kwa moja na UFOs. Aidha, ni mara kadhaa Viongozi wa Marekani wamekuwa wakilazimika kukanusha juu ya Nchi yao kushirikiana na Aliens kiteknolojia walioko kwenye eneo la siri, Area 51.
Kuna wanasayansi kadhaa wa Marekani waliuawa baada ya kutoboa Siri juu ya Aliens nchini humo.
Halafu jiulize swali muhimu: Kwa nini muonekano wa Aliens uko common? Kama Aliens hawapo, hizo picha maarufu zinazoonyesha sura zao zilitokeaje? Nani aliwachora na wote kukubaliana kuwa wanafanana hivyo? Kwa nini vyombo vyao vya usafiri (UFOs) vinafanana?
View attachment 821502View attachment 821501
Mi nadhani inatakiwa utumie akili yako kuwaza pia sio tu kukariri hizi theory. We unaushahidi wa uwepo wa hiyo gravity? Unianmbie kwa maneno yako sik kukariri ya Newton, kwakuwa umeisoma na ukailewaPure conspiracy. Hollow? no way! Baadhi ya majaribio ya kisayansi hufanya hoja kuwa kubwa kwa nadharia kwamba kuna tundu katika Dunia. Hilo haliwezekani. Physics ya leo inataka gravity kuwa ndo nguvu kuu katika vitu vilivyopo na vinavyotembea katika uso wa Dunia.
Katika Dunia hii tunayoishi kuna theory of electromagnetism ambayo ndo inasaidia mambo kama umeme, mwanga etc.. Hivyo basi katika mfano huo, kitu kama centrifugal force hutenganisha dunia kwa njia ya density na kutoa mwanga kama mfano wa shimo.. Hata hivyo, sehemu nyingine ya Dunia na anga itakuwa hasa ushawishi na kivutio electrostatic na kuunganisha katika suala kutoka anga, hivyo kuelezea anga yetu kuwa nyepesi katika molekuli, na hivyo kuchangia kitu kama mwanga kuendelea kuvinjari kwenye outer space ya Dunia/Universe.
Nimalizie kwa kusema kuwa hizo ni Conspiracy na Uongo mkubwa wa wana sayansi wa Dunia hii.
You have a point. Though siwezi kubuni theory mpya overnight nikakuwekea hapa. whether ukubali or ukatae, there's no way unaweza kumwepuka Newton kwani katika issue zinazohusu sayansi lazima ukutane na Newton na ndo gwiji wa hayo mambo. Mhh...mkuu unabisha kuhusu uwepo wa gravity? huko sitii neno.It was just my opinion bro, vipi ndugu...mchango wako uko wapi ili nami nijifunze kutoka kwako?Mi nadhani inatakiwa utumie akili yako kuwaza pia sio tu kukariri hizi theory. We unaushahidi wa uwepo wa hiyo gravity? Unianmbie kwa maneno yako sik kukariri ya Newton, kwakuwa umeisoma na ukailewa