Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Baadhi ya Wataalamu wa Conspiracy Theory wamekuwa wakionyesha kuwa, Dunia ni hollow (Tundu) ambalo lina mwanga (Jua dogo) kwa ndani na kuwa kuna viumbe (Aliens) wanaoishi ndani yake wakiwa na ustaarabu wa hali ya juu. Ustaarabu huo unaitwa Agartha na Mji Mkuu ni Shamballah
Wataalamu hao wamekuwa wakieleza kuwa, Ncha za Kaskazini na Kusini zina uwazi (hollow) ambayo huwa hauonyeshwi kwa makusudi na picha za satellite. Wanadai licha ya jitihada nyingi za NASA ku-edit eneo hilo, bado baadhi ya picha zinaonyesha shimo (hole) kwenye Ncha ya Kaskazini.
Aidha, inaelezwa kuwa, ukifika eneo hilo joto huongezeka licha ya eneo la Ncha ya Kaskazini kufunikwa na barafu kutokana na joto linalotoka ndani ambako kuna jua dogo.
Eneo hilo linalindwa na Marekani na ndege haziruhusiwi kupita eneo hilo, ukilazimisha unadunguliwa.
Wajuvi wa mambo nadhani mtatusaidia juu ya hii kitu.
Ukifuatilia You Tube juu ya Hollow Earth utajifunza mengi.
Wataalamu hao wamekuwa wakieleza kuwa, Ncha za Kaskazini na Kusini zina uwazi (hollow) ambayo huwa hauonyeshwi kwa makusudi na picha za satellite. Wanadai licha ya jitihada nyingi za NASA ku-edit eneo hilo, bado baadhi ya picha zinaonyesha shimo (hole) kwenye Ncha ya Kaskazini.
Aidha, inaelezwa kuwa, ukifika eneo hilo joto huongezeka licha ya eneo la Ncha ya Kaskazini kufunikwa na barafu kutokana na joto linalotoka ndani ambako kuna jua dogo.
Eneo hilo linalindwa na Marekani na ndege haziruhusiwi kupita eneo hilo, ukilazimisha unadunguliwa.
Wajuvi wa mambo nadhani mtatusaidia juu ya hii kitu.
Ukifuatilia You Tube juu ya Hollow Earth utajifunza mengi.