Marmeid
JF-Expert Member
- Dec 31, 2024
- 549
- 1,253
Habar wana JF natumaini wote wazima poleni pia na majukumu yanayo wakeep busy .
Nilisha wahi kupewa nisimamie mradi wa misitu ya serikali mwaka fulani, lakin kwa bahati mbaya zilidaka moto kwenye heka 150, zilipona heka 40 ambazo ndo zilikua kwenye matazamio ya uzalishaji , na ndo ilikua kama kazi yangu ya kwanza kukabidhiwa mradi niwe kama incharge, baada ya hapo nlipitia msoto mkubwa sana cjawahi experience mpaka nilihisi kupata depression
ilifika kipindi nakaa hata siku mbili sili chakula pia siongei nnacho waza kichwani nna wezaje kurudisha fidia ya pesa iliyo tumika kuanzisha huo mradi, lakini mungu mkubwa yaliisha.
JE ni kitugani kilikuletea msongo wa mawazo kupita kiasi ?
Depression is REAL
Nilisha wahi kupewa nisimamie mradi wa misitu ya serikali mwaka fulani, lakin kwa bahati mbaya zilidaka moto kwenye heka 150, zilipona heka 40 ambazo ndo zilikua kwenye matazamio ya uzalishaji , na ndo ilikua kama kazi yangu ya kwanza kukabidhiwa mradi niwe kama incharge, baada ya hapo nlipitia msoto mkubwa sana cjawahi experience mpaka nilihisi kupata depression
ilifika kipindi nakaa hata siku mbili sili chakula pia siongei nnacho waza kichwani nna wezaje kurudisha fidia ya pesa iliyo tumika kuanzisha huo mradi, lakini mungu mkubwa yaliisha.
JE ni kitugani kilikuletea msongo wa mawazo kupita kiasi ?
Depression is REAL