Je, Kuna Mwandishi katekwa Dar?

Kiranja

JF-Expert Member
May 19, 2007
751
336
Kuna habari kwamba Mwandishi wa Habari, wa Alasiri mwanamke alitekwa na kutelekezwa Mbagala leo mchana muda huu ametoka polisi Oysterbay..... Habari zaidi baadaye
 
GT hiyo picha ya nani? Anayedaiwa kutekwa anaitwa Mwanaidi Sued. Hadi sasa haijulikani ni majambazi, wabakaji, wezi, watishaji au mafisadi wanaotaka kuzidisha woga kwa waandishi wa habari. LIWALO NA LIWE WOTE SI WEMA HATA KIDOGO... Hii nchi haiwezi kuwekwa katika mazingira haya ya TINDIKALI, KUTEKANA na kadhalika
 
Quote: GAME THEORY


GT vipi tena na hiyo picha!?

Hiyo picha inafanana na ya Mzee wetu, Adam Lusekelo!!! Unamchuria? Au ndiye aliyekusudiwa? Lakini yeye si mwanamke!!!!
 
Thank God, siioni hiyo picha maana mara nyingi hazihusiani na mada. Halisi kwani huyo dada anajulikana kwa namna yoyote kuhusika na mambo ya uandishi wa uchunguzi au inawezekana ikawa ni uhalifu tu?
 
eddy murphy huyo kwenye dreamgirls, GT bwana, sasa hapo unataka kutuambia nini..............?

mbagala mpaka osterbay police??? au na-miss kitu hapa!!!?
 
eddy murphy huyo kwenye dreamgirls, GT bwana, sasa hapo unataka kutuambia nini..............?

mbagala mpaka osterbay police??? au na-miss kitu hapa!!!?

Temeke hadi Kinondoni kudeka au nini ina maana hawaamini Polisi wa Temeke???? Ila pole sana kwa kutekwa hao hawakuwa na tindikali.
 
Journalist briefly kidnapped by thugs

2008-01-26 09:34:11
By Guardian Reporter


A journalist with the Guardian Limited Mwanaidi Swedi was yesterday kidnapped by unknown people and kept hostage for hours before the kidnappers released her.

Mwanaidi, who writes for a Kiswahili evening paper�Alasiri�was kidnapped just a few metres from the Guardian Ltd offices at Mikocheni as she was going to town for an assignment.

Speaking to this reporter Mwanaidi said a dark blue saloon car with tinted windows stopped nearby with three men and offered to give her a ride to town.

According to Mwanaidi, one of the three men seemed to look familiar to her making her believe that they knew her.

``The car then headed to town but when we reached at Bamaga one of the men suggested that they take Shekilango Road to avoid traffic jam,`` she said.

She said on the way, the two men who were sitting with her on the back seat strangled her.

``They asked me if I know a man called Thomas who lives at Wazo Hill. I told them I do not know the man,`` she said.

Mwanaidi said the kidnappers told her they had come from Arusha for a special assignment to teach a lesson to journalists who write about other people.
``They kept on strangling me and one of them told me to hand over all my belongings,`` she said.

She said she attempted to resist but the kidnapers threatened to kill her.

``They took my cellular phone, my wedding rings and the money I had in my handbag,`` she said.

Mwanaidi further said that she was thrown out of the car when they reached at Kinondoni cemetery before the car sped away.

Kinondoni Regional Police Commander Jamal Rwambow said they have not arrested anybody yet and that investigations were going on to net the suspects.

``We are still investigating on the incident. It is not good to ignore the incident but it is also wise to investigate,`` he said.

SOURCE: Guardian http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2008/01/26/107071.html
 

Aluta continua!
Inabidi pia wawe makini na lifti.
 
kiranja

Kuna habari kwamba Mwandishi wa Habari, wa Alasiri mwanamke alitekwa na kutelekezwa Mbagala leo mchana muda huu ametoka polisi Oysterbay..... Habari zaidi baadaye

halafu soma hapa tena

...Mwanaidi further said that she was thrown out of the car when they reached at Kinondoni cemetery before the car sped away....

Mbona maelezo yanagongana hapo kuhusu eneo la tukio????

Ila dalili ya mavua ni mawingu hivyo ni budi vyombo vya usalama kuanza kuchukua hatua na tahadhari dhidi ya matukio haya maana mafisadi wameshapagawa na wanamkwaa kila aliye mbele yao. Lazima tuwe waangalifu sana sisi wanahabari....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…